Kwa
Kwani yesu ndio mungu?
Brother nafuatailiaga nyuzi zako, ni against God tu. Mimi nakushuhudia leo, Mungu ni kweli na Halisi. Nami nilikuwa kama wewe ila baada ya kupita kwenye jaribu nikaona mkono wake na sasa nakiri uzima katika Yeye.
Bro, shetani hana nguvu kwa muamini. Shetani hana nguvu kwa Yesu. Shetani hana uadui na Mungu na ndio maana wakati wa Ayubu alijihudhurisha mbele za Mungu. Wakati wa Nabii Mikaya Mapepo yalijihushurisha mbele za Mungu. Hizo ni Roho na zina changamanaga, Shetani ana uadui na mwanadamu akipambana kumzuia kuwa na uhusiano na Mungu wake na kumzuia kuingia mbinguni. Nifahamuvyo, shetani ni kiumbe na hapatikani mahali pote kwa wakati mmoja. Nifahamuvyo, mapepo ni roho zinazotangatanga duniani na kama mtu mchafu ndio humuingia ila ukisimama sawa katika utakatifu hawakugusi. Kanisani huwa tunayakemea na kuwatoka watu na kama u mchafu watakuingia sababu na wao ni wachafu. Hivyo ni viumbe dhaifu kama utasimama kweli na Mungu wako.
Kwani yesu ndio mungu?