Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Unahoji?huamini?unashangaa?unadadisi? Unadhihaki? Unachangamsha? Unaburudisha? Ni chemsha bongo?

Mimi huwa naongea na Mungu nikiwa ndotoni ila huwa simuoni japo majibu huwa ananipa
Duh....ana sauti ya aina gani? Upole au ukali.
 
Hayo majina mengine hayana nguvu ACDs zake zipo chini.ACDs ni kipimo kipimacho nguvu ya imani.
*Jesus anayo ACDs 100%
*Shetani anayo ACDs 40%
*Majemedari sita wa shetani wanayo 3 hawa ni wasaidizi wakuu wa shetani.
*Jini anayo 2.5
*Mwanadamu yeyeto anayo ACDs 1
*Wanyama wanayo 0.5.
Mwanadamu ACDs yake inapanda kadri ya upande anaoutumikia. S

So attack yeyeto ya kiroho itategemea na nguvu uliyojiunganisha nayo.
Kwann tuna believe in Jesus sababu anayo ACDs 100 so ukijiconnect nae Hakuna cha jini, shetani, mzimu, mchawi sijui takataka gani itakuweza sababu unapokea nguvu direct toka kwa Jesus Power.
🤣🤣🤣
 
Hili ni swali tu katika kujua uweza na uwezo wa nguvu za Jina la Yesu katika kutenda miujiza.

Yesu alipata kuishi yapata miaka 2019 iliyopita. Je inakuwaje jina lake leo lisemwe kwamba lina nguvu sana katika kutenda miujiza?

Kuna manabii wengi sana na mitume wengi wamepita, kina Krishna, Elisha , Elizabeth Mtishbi nk mbona hatusikii visa vya majina yao katika kutenda miujiza? Sanasana Wlisha ametajwa mara moja kwamba jamaaa walibeba maiti wakienda kuzika, walipofika katika kaburi la Elisha ikatokea vita, katika kujinusuru wakaibwaga maiti chini, maiti ikaangukia kaburi la Elisha, maiti ikafufuka, ikatoka nduki kichizi.

Ndugu mnaoelezea uweza wa jina la Yesu njooni hapa mshuhudie
His name is Wonderful Counsellor, Mighty God, Everlasting Father, Prince of Peace..... Jina la Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu ndio maana ni jina kuu na lenye nguvu kuliko majina yote. Magonjwa na nguvu za giza zinatii kwa jina la Yesu na kusambaratika
 
His name is Wonderful Counsellor, Mighty God, Everlasting Father, Prince of Peace..... Jina la Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu ndio maana ni jina kuu na lenye nguvu kuliko majina yote. Magonjwa na nguvu za giza zinatii kwa jina la Yesu na kusambaratika

Unaongea lugha gani unaposema ni Mungu Na mwana wa Mungu? Au wako Mungu wengi?
 
Sababu ipo nguvu kuu ya utendaji ndani ya jina la Yesu. Hayo majina mengine hayana nguvu ya kutenda chochote.
Nguvu yenye mipaka(iliyofungwa ndani ya sauti nasibu Yesu) kuita Kuu ni Kujidanganya.

Nguvu iliyo Kuu haina mipaka, haifungwi na chochote. IPO hata kabla ya watu kubuni hilo jina Yesu, na inafanya kazi katika Ukamilifu wake wakati wore.
 
Hayo majina mengine hayana nguvu ACDs zake zipo chini.ACDs ni kipimo kipimacho nguvu ya imani.
*Jesus anayo ACDs 100%
*Shetani anayo ACDs 40%
*Majemedari sita wa shetani wanayo 3 hawa ni wasaidizi wakuu wa shetani.
*Jini anayo 2.5
*Mwanadamu yeyeto anayo ACDs 1
*Wanyama wanayo 0.5.
Mwanadamu ACDs yake inapanda kadri ya upande anaoutumikia. S

So attack yeyeto ya kiroho itategemea na nguvu uliyojiunganisha nayo.
Kwann tuna believe in Jesus sababu anayo ACDs 100 so ukijiconnect nae Hakuna cha jini, shetani, mzimu, mchawi sijui takataka gani itakuweza sababu unapokea nguvu direct toka kwa Jesus Power.
Nini kirefu cha ACD? Je unaweza kutupa darasa kidogo?
 
Uchawi ni hasi kutenda uhalibifu.Ulishushwa na majini toka kwa shetani malaika hao waovu wanaoitwa maharuta wa maruti,lengo kuu Ili kupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu aache kutumia akili aliyopewa na Mwenyezi Mungu amtegemee shetani,fanya tafiti mchawi au mshirikina huwa na uwezo Mdogo Sana wa kufikiri.Thus wazungu baada ya kuwaua wachawi wakapata Jamii inayofikiri vizuri na wakawa na maendeleo makubwa Sana.
Mungu katika maandiko yenu alifanya uharibifu, alifanya Sodoma na Gomora, alifanya kwa Nuhu-Gharika, bado alifanya uharibufu katika nyumba ya Farao, JE ALITUMIA UCHAWI?

Unatofautishaje Uchawi na Nyendo za Mungu za namna hiyo?

Mkuu, ndio maana wakati fulani tunakuwa wakali sana kwenu. Inauma sana kuona ndugu yakovametopea katika Utumwa wa Mzungu. Mbaya zaidi haoni aibu kujivunia hadharani utumwa wake.

Uliporuhusu Mzungu akufundishe juu ya Asili yako, ndio siku ulipojizika hai, na Leo umebaki kuwa kibaraka wa mentality yao.
Inauma sana.
 
Kuna mwingine aliwahipitia hali kama yako lkn hajawahi kanyaga kanisani lbda wakat anabatizwa na kufunga ndoa kwa sasa ni mademu kwenda mbele, huyo utampeleka upande gani
Yesu yupo kwa ajili ya wote, alikuja kutafuta kilichopotea
 
kwenye matukio kama ayo ni wengi tu wanaponyeka ponyek, haimaanishi kama haumuamini yesu bas kwenye ajari haunusuriki,

watu wengi wengine ni atheist lakin wanaponyeka kwenye ajari mbaya kabisa
Hata ukiwa ni mpinga Kristo Yesu anakupenda hivyo hivyo
 
Kama yupo kwanini mpaka wakala wake? Tupe anakopatikana tukajue ukweli. Kila jambo anasingiziwa shetani kwakua haonekani!!
Labda huwa wanamsaidia pale anapoenda kupiga stori na Mungu, maana jamaa huo wanapiga soga na kutembeleana.

Halafu bado mtu atadai yupo kila mahali. Huu ulevi ni mbaya sana.
 
Mungu katika maandiko yenu alifanya uharibifu, alifanya Sodoma na Gomora, alifanya kwa Nuhu-Gharika, bado alifanya uharibufu katika nyumba ya Farao, JE ALITUMIA UCHAWI?

Unatofautishaje Uchawi na Nyendo za Mungu za namna hiyo?

Mkuu, ndio maana wakati fulani tunakuwa wakali sana kwenu. Inauma sana kuona ndugu yakovametopea katika Utumwa wa Mzungu. Mbaya zaidi haoni aibu kujivunia hadharani utumwa wake.

Uliporuhusu Mzungu akufundishe juu ya Asili yako, ndio siku ulipojizika hai, na Leo umebaki kuwa kibaraka wa mentality yao.
Inauma sana.
Wapi Mzungu kaunda dini.Kazi ya Mungu haiwezi kuwa uhabifu.
Uchawi ni nguvu hasi za kudhuru, Mungu ni tiba na uponyaji dhidi ya uchawi.
 
Back
Top Bottom