Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

https://www.jamiiforums.com/threads/je-jina-lako-id-unalotumia-jamiiforums-lina-maana-yoyote.40266/
 
Sawa mpenzi...

Na mimi naitwa brather... nimezaliwa peke yangu...

Naona huu ni mpango wa maulana kutukutanisha hapa. Labda uwe mbishi tu
Hapana wewe utakuwa san[emoji16][emoji16]
 
Asante, haha the other one is my famous nickname wengi wanaonijua nje ya JF wanalijua lile jina na ukizingatia ninayoandika humu sivyo nilivyo basi kuna watu wakaanza kunifuata wakisema hawaamini kama ni mimi ndiyo naandika haya ninayoandika humu

Wakati kiuhalisia mimi ni mpole ila humu naonekana nina mdomo nikasema mimi ndiyo napenda nionekane hivi humu ila nikaona isiwe taabu acha nibadilishe tu nitafute id ambayo hamna mtu yeyote anayenijua anaijua then nikaona hii ndiyo inafaa.

...and why did yo change from the other one
....btw hii ya sasa iko poa zaidi
 
Baada ya kuwa nafanya project ya kuongeza nguvu za kiume kupitia wi-fi na jina la project yangu ya kisayansi ni mbo technology nikaunga nikapata mbotech
 
Hivi hawa watu wenye id zaidi ya moja mnawajuaje mbona mimi simjui hata mmoja?
Sijajua km Ni ya kwake.
Avatar zinafanana halafu huyo Humble amepotea kitambo Sana.
Unaweza kuangalia miandiko km inalingana.
 
Na mimi naomba unitag
 
What is your EPL team??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…