Majibu yako
.Zitaenda orphanage kuchangia
.Rafiki yangu ni pombe sio watu sipendi watu
.haha unaogopa kifo kila mtu atakufa
.yes anaonekana kujali ila Kama amenipenda au wapo wanaotamani uwepo wangu imekula kwao wapambane na Hali zao waniache na mm nipambane na Hali yangu
.mwisho nikiandika nitakutag
Langu nishasema sana my dear...Lizarazu, Relief Mirzska, Khantwe, Don Clericuzio , Atoto, Sakayo , Heaven Sent, Upepo wa Pesa, BAK, toxic9, Extrovert natamani nijue tafsiri ya majina yenu
Naona bado uko sober, huwa unakuwa drunk kuanzia saa ngapi?Pole kwani Mimi mgonjwa? Ngoja niziitikie tu haya asante
YeahHe's freaking awesome [emoji16][emoji16]
Nimemiss malumbano yao na yule mwana ITHuyu jamaa sijui yupo wapi.
Mara zote huwa nahisi Ni wewe.
Hao wanafanana hizo avatarHivi hawa watu wenye id zaidi ya moja mnawajuaje mbona mimi simjui hata mmoja?
ashee pii alaigwanan!!'Ngareroo'natokea Ngarenaro A-Town Arusha,,Ngareroo ni swaggz tu ya Jina Ngarenaro,pia napenda sana kuongea Slangs ya Chuga ambayo tunaiitaga 'Ngareroo slangs'...Ni ivo tu Laigwanani.
Hata Mimi nimemiss nondo zao.Nimemiss malumbano yao na yule mwana IT
Anhaa..Langu nishasema sana my dear...
Wengi wanajua mie wa kiume ila sio... Sio Zakayo ni Sakayo!
Mwanamke mfupi mtoza ushuru!(Sakayo)
Yes i am sweetheart...Usijali lakini. You got that business spirit with you?Sina hata kibanda cha kuku aisee, how i wish[emoji30] , bila shaka you're an extrovert kama jina lako eeh, au siyo dingilai?
HahahahahahaAnhaa..
Kweli nimekumbuka(kafupi)..nilishawahi ona Kwenye thread ile nyingine
For sure napenda biashara, I just love ile exchange ya goods, services with money, oooh what a feeling[emoji3] [emoji3]Yes i am sweetheart...Usijali lakini. You got that business spirit with you?
Ooh my G! Thats sweet of you. What if just give it a shot? Just getting engaged in it.πππFor sure napenda biashara, I just love ile exchange ya goods, services with money, oooh what a feeling[emoji3] [emoji3]
Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.
Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi
japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia
Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu
Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .
ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli
Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
Basi mie nilidhani ndiyo mwaka uliozaliwa
Ni mwaka uliozaliwa. Yaani 1990