Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Ndioo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jamani.
Ufupi huo viipii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndioo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jamani.
February 1990
Ntakuwa nini??
Hujanipata bado. Jaribu siku nyingine
OohhSijajua km Ni ya kwake.
Avatar zinafanana halafu huyo Humble amepotea kitambo Sana.
Unaweza kuangalia miandiko km inalingana.
Ile unayoipenda.Tafsiri ziko nyingi..Sijui anataka kusikia ipi
Manchester UnitedWhat is your EPL team??
Hivi ile nyingine inamaanisha nini?
Hao wanafanana hizo avatar
Nahisi waweza wajua kutokana na uchangiaji wao..asili ya mwenye nyuma ya keyboard haipotei..atavunga ila iko siku ataanguka kwenye 18 hapo ndipo wanapoumbukaga hawa wenye I'd mbili au tatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa kweliAtakuwa alijiunga JF akiwa amelewa!
Halafu mimi ni kinyume chako I am an Introvert na mara ya kwanza kabisa nilitaka nijiunge na id ya Introvert nikaambiwa tayari ipo ndiyo nikaja na ya Edelyn halafu nikakutana na mtu anajiita ExtrovertYes i am sweetheart...Usijali lakini. You got that business spirit with you?
Na wewe nini maana ya jina lako?Tafsiri ziko nyingi..Sijui anataka kusikia ipi
Oohh OkayUnashabihiana kwa mbaaali ila haina maana hiyo
Mimi navuta sana bangi na ndio starehe na kitulizo pekee cha akili na mwili, nikaamua kujiita kayaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndioo
Ufupi huo viipii
Yaani kwa mfano wewe umeoa mke.Kingozi! Akili yangu ni nzito sana.
Unaweza ukaenda taratibu hapo kwenye Bibi na Babu nakadhalika? Hizo mimi huwa zinanichanganya sana. Zikitumika sentensi huwa nashindwa kuielewa.
Samahani lakini.