wow...uko njema mtoto mtam😘😘😘 napenda watoto wanaojitahidi kujishughulisha, are you employed mamacita?I tried for sometimes, nakumbuka soon after kumaliza chuo, nilikua nafanya online business nilikua nauza viatu flani hivi kama Vya kimasai hapo sina mtaji wala nini, nilichokua nafanya nawatamanisha watu na pics then wakivipenda wanalipia nawafanyia delivery Kwa uaminifu mkubwaa, niliokua nawauzia nao wengine walikua wanauza, aisee nilipata pata vipesa, nikawa hadi nasave ,baadaye nikawa busy na kutafuta vibarua so wateja wakapungua maana nashindwa kudeliver mzigo sababu ya ubusy , pia Viatu hivo vimekua vingi hadi fake vyenye bei rahisi.
The good feeling, nnayokumbuka kwenye hiyo biashara ni ile mtu akituma hela ,ikiingia kwenye simu tu nishajua my net profit[emoji3] , was real interesting.
Nakumbuka kuna siku ndugu yangu alinitafutia oda ofisini kwao duuh, nilipata oda zaidi ya 10 pairs afu nilipandisha bei sababu hiyo ofisi wako vizuri[emoji3] [emoji3] ,ilikua poa sanaa.
atakuja mwenyewe nadhani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] , alinipromise kunioa aisee, usije ukawa unanikwepa ntakusemelea Kwa mkuu Wa Mkoa ujue( joke bana)
Hahaa, unajua changamoto huleta akili na kuona ni jinsi gani utasolve aisee, afu Mimi Mdada mchungu, siyo mtotowow...uko njema mtoto mtam[emoji8][emoji8][emoji8] napenda watoto wanaojitahidi kujishughulisha, are you employed mamacita?
Hahahah sawa mdada mtam tam😋,,, hongera sana mwayego.Hahaa, unajua changamoto huleta akili na kuona ni jinsi gani utasolve aisee, afu Mimi Mdada mchungu, siyo mtoto
Yes, am now working somewhere...
Jina langu katikati kuna 'mi' baadhi ya marafiki zangu hupenda kuniita 'mimi'. 'Ks' sijui ilitokea wapi, niliongezea tu haina maana yoyote. Na haipo popote katika majina yangu sijui kwanini niliweka 'ks'
Uanze tu kuwa mnyonge..Ujeuri na ununda umekuacha lini?Mimi si ndio mnyonge wako, we haya tu!
Napita tu bro..Hahahah sawa mdada mtam tam[emoji39],,, hongera sana mwayego.
storm shadow (the white ninjaAsalam wanajamvi?
Niende moja kwa moja kwenye mada! nini kilichopo nyuma ya hilo jina. Nini unakikumbuka ukajiita hilo jina! yapo majina mengi yanatoa tafakari na burudani!
Nikianza na mimi kindikinyer leborosier
Ni muunganiko wa vijiji vinne vilivyoandkwa kwa kifupi:
Kindi ni kijiji kimoja kipo kibosho kilimanjaro ambapo niliwahi kukaa kwa miaka minne nilijifunza uchaga na tamaduni zao zilinivutia na hua napakumbuka sana!
Kinyer (lendikinya) ni mtaa mmoja upo monduli umasaini niliwahi kwenda kusanya data nikajifunza mambo mengi ya kimasai.
Na tamaduni zao pia!
Leboro ni kijiji kingine kipo Manyara wilaya ya mbulu kata ya mama isara, ni chimbuko la wambulu (wairaki) niliwahi kwenda kukaa na kufanya shughuli zangu pale kwa muda pia, ni mahali pako vizur sana milima ile hali ya hewa ya ubaridi.. napakumbuka sana!
Na mwisho sier (esere) ni kijiji kipo wilaya ya ngorongoro mkoa wa Arusha kata ya enduleni, hapa kuna mambo mengi sana yalinifanya niishangae sana Tanzania, madini, mapango ya kale, na nyayo za mtu wa kale ambae zipo pembeni kidogo panaitwa laitolye, wanaishi wamasai nilijifunza mengi pia!!
Nini kinakukumbusha ukitazama jina lako la JamiiForums!!
Uzi tayari
Hapana. Nadhani niliweka mimi peke ake ikakataa nikaongeza ks. Ilikuja tu hiyo ks au labda at that moment ilikua na kasababu ambako sio muhimu na cha maana ndio maana sikumbuki.Mwanzo nkajua unamaanisha ile mimics sjui wanaiandika mimicry skumbuki spelling ya mambo ya ikolojia
Haahahawow...uko njema mtoto mtam[emoji8][emoji8][emoji8] napenda watoto wanaojitahidi kujishughulisha, are you employed mamacita?
Naona anakuja kuja hapo alipofikia sio pabaya.Napita tu bro..
Mimi ni mtu wa tofauti kidogo ninapokuwa sehemu ya public au nikiwa chuo shuleni baada ya kukaa kwa muda huwa najikuta nimekuwa maarufu sana kuliko jina langu japokuwa huwa najiweka kama mtu asiye na lolote lakini watu wanatokea kunikubali hata kama sijafanya la maana au sifa ndio maana nikaamua kujiita Lord eyes najua nikiliweka humu robo ndio wanaonifahamu kwa jina langu halisi japo humu hawaji fahamu vizuri nikiji thibitisho sura yangu halisi najua mutashanga kumbe ndio huyu
Kaa kwa kutulia...😆Baharia at work!!!Haahaha
Haya bwana kila la kheri.Kaa kwa kutulia...[emoji38]Baharia at work!!!
Wakati kati ya wake zako wote mie ndio chaupole.Uanze tu kuwa mnyonge..Ujeuri na ununda umekuacha lini?