Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Jina Ebenezer halina historia sana japo ni jina fulani hivi la kiebrania ambalo lipo katika vitabu vya dini na pia lina maana yake kibiblia
 
Khaaaa! Umeanza ubaguzi wallah... Huyo Mbowe kagombea urais mara ngapi??

Afu nani alikuambia mi mchagga? Shika adabu yako nakwambia
 
Ni mangifera indica mkuu!
Typing error, ahsante ila ndo maana nasema somo la bt au botany sijawahi kulipenda maishani mwangu, corse work za hili somo zilikuwa vichekesho...... Kwa waliosoma kwa dokta manoko udsm nadhani wanaelewa
 
Typing error, ahsante ila ndo maana nasema somo la bt au botany sijawahi kulipenda maishani mwangu, corse work za hili somo zilikuwa vichekesho...... Kwa waliosoma kwa dokta manoko udsm nadhani wanaelewa
Ahahahah mimi somo la biolojia kiujumla nilimalizana nalo nilipomaliza form four japo siyo kwamba nililichukia hapana
 
In short focus on your goals.

 
Kuna siku nilikuwa naangalia mpira zaman kidogo (sijui ilikuwa ligi gani) kuna mchezaji akawa na hilo jina... Na kwa kuwa linaendana na jina langu halisi nikalipenda kulitumia kama nickname
 
Reactions: BAK
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah niko huku kwa mabingwa wa kombe la dunia babu!!

Halafu unajua mimi naweza nisiwe mjukuu wako kabisa kwani una umri gani??
 
Hapana[emoji23][emoji23][emoji23].
Nipo Liverpool tangu enzi zile za kina Gerald na Torres.

Huyu Mo salah kijana wa juzi tu huyu.
 
Hahahaha..
Opportunities gani uliziona huko.?
 
Yeah nimeshasema kule juu sababu ni kuwa nilitaka tu jina lolote zuri lenye herufi nane, yaani konsonanti nne na irabu nne zilizojipangilia vizuri ndiyo likaja hili.
Ngoja nikubali kishingo upande..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…