Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Ndiyo..utaalamu wa kielimu ...mfano udaktari, ualimu., Injinia n.k....
Lakini mpaka Wamarekani wakukibali kuwa mwl wa wanafunzi wao, wanakuchekwcha haswaaa...elimu yao haifanyiwi majaribio....
Ukiwa na masters au phd unakuwa na wakati mzuri zaidi kwa kazi za kitaaluma...
Degree incase ni mwalimu, unakuwa mwalimu msaidizi...teaching assistant.

Kazi nyinginezo high school au diploma...hizi ni kazi za nguvu zaidi akili kidogo...mfano kuendesha mashine za shambani, viwandani, uhudumu, usafi n.k
Utaalamu wa kielimu au? Na vipi kule mtu anaheshimika akiwa na ngazi ipi ya elimu?
 
Duuh ila si nasikia watu weusi kupata ajira marekani ni ngumu? Na ndiyo maana wengi wamekimbilia kwenye muziki?
 
Kazi nyingi za kitaaluma kule zinalipa sana...mfano ualimu, daktari, injinia nk...
Kazi nyinginezo zinalipa kawaida though ukitunza ujira wako ukaja nyumbani Ukabadikisha dolar zako kwa hii hela yetu yenye tembo, aisee unapata nyingi...
Kazi za kawaida mara nyingi wanafanya kwa shift ya masaa manne manne....kwa sisi wagumu unapigania zile shift ngumu za usiku ambazo wazungu laini laini wanazikimbia...
Zipi zinalipa zaidi?
 
Huwa nasikia hivyo lakini binafai sina uhakika sana...kwa sababu States zote nne nilizoishi nilikuwa naona watu weusi wengi tu wameajiriwa twna kazi za maana...weusi waliotoka Africa wengi ndiyo unakuta wanafanya kazi za kawaida....yes kazi za kawaida kwa marekani..lakini mtu huyo wa kawaida kwa mwezi anatengeneza mishahara mitatu ya Daktari wa huku nyumbani....
Wanaijeri, wakenya na Waethiopia ni wengi sana..wao wanapeana fursa....
Sisi wabongo tulilogwa....
Duuh ila si nasikia watu weusi kupata ajira marekani ni ngumu? Na ndiyo maana wengi wamekimbilia kwenye muziki?
 
Mimi nina kibamia but am proud of it coz kila mrembo aliyepata huduma yangu alifika nchi ya ahadi na kutaka kurudia show na slogan yangu 1 goal 1 hour lazima ukasimulie😭😭😭
 
Kazi nyepesi Ni Kama zipi?
 
Mie ni jina langu halisi la kilugha, wale wa kabila moja wanaelewa
 
Reactions: BAK
Hakuna kazi nyepesi...wepesi ni pale unapoingia mchana, usiku upumzike..so mara nyingi shift za jioni zinaonekana kuwa ngumu
Kwa hiyo naweza kuwa mfanya usafi nikatengeneza hela nzuri tu huko inayozidi hela ya huku kwetu ya kuajiriwa km accountant au doctor?
 
Haina hata historia ndefu

Baada ya ndalichako kubadilisha grades A-level sikufanikiwa kufaulu,ila demu wangu alifaulu.

Nilimshirikisha kuwa nimeamua kuwa mkulima mwanzoni alikubaliana nalo hilo wazo sema baadae akanibadilikia.
miminimkulima=mimi ni mkulima.ndiyo kazi yangu.

akachekasana=ni zile dhar(l)au alizokuwa ananionesha.

nilichagua hiyo jina kwa sababu linanipa hamasa ya kutengeneza mahusiano mazuri na pesa.
 
Deo jina langu
Corleone ndo home ni huko Sicily Italia.
Zamani nilikua natumia id ya Binamu Yako,sababu kuna kipindi nilikua na sikiliza sana nyimbo za "Binamu" MwanaFA
 
Nilianza na lucifer, likagoma... Satan likakubali...

nimejikuta navutiwa tu
 
Kwa hiyo naweza kuwa mfanya usafi nikatengeneza hela nzuri tu huko inayozidi hela ya huku kwetu ya kuajiriwa km accountant au doctor?
Kazi za kawaida kama hizo za usafi kwa kipindi hicho ilikuwa $7 kwa lisaa limoja...kwamfano kwa wiki ukifanya masaa 40 x 7 = $280 kwa wiki..endapo unafanya full time... $280 x 4= $ 1120 kwa mwezi....ambazo ni zaidi ya milioni 2.3 za kibongo...huyo ni mfanya usafi anayefanya masaa nane kwa siku..siku tano za wiki.....
Nadhan accountant wa hapa Bongo anaweza kutengeneza pesa nyingi za dili magumashi....si mshahara...kule hakuna dili magumashi
 
Vipi upatikanaji wa hizo kazi??
 
canular nazan mwajua function zake alafu mimi ndio yule mtata wa kuzi canulate vein ukija maeneo yangu ya hospital mie naweka canular hadi kwenye papuchi kama mgonjwa ikiwa vein zake zinazingua sasa za watoto ndio noma zaid huwa nafatwa hatanikiwa siko chiwi
 
Reactions: BAK
Na aliyeturoga alikufa zamani za kale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…