Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

tam- initials ya majina yangu rasmi.
sana- niliweka baada ya kuonekana jina 'tam' lilikuwa limesasajiliwa humu. Ili kijitofautisha nikajiita tamsana.
Thomas
Timoth
Timotheo
Theophil
Titus
Tito

T 😎
 
Farolito(Little star)

Huu ni wimbo wenye ladha ya Latin/Salsa ninaoupenda umeimbwa na Gloria Estefan,kwa mara ya kwanza niliusikia miaka mingi iliyopita nilikuwa kwenye basi natoka chuo kwenda mjini,nikaupenda,niliposhuka nikaongea na dereva nikamwambia nimeupenda huu wimbo,kaimba nani nikautafute?hata yeye akasema hajui ila akanionyesha kumbe aliweka kaseti,basi nikamsihi sana aniuzie,nashukuru alikubali nikampa sh 2,000 akaniachia.

Nilipoangalia ndio nikajua ilikuwa Gloria Estefan album ya Abriendo Puertas,na nikagundua pia kulikuwa na nyimbo nzuri zingine humo,hio Cassette nimeitunza hadi Leo.

Maana halisi ya neno Farolito ni taa Fulani za karatasi zinamwanga wa mdogo,zinatumiwa zaidi kuonyesha upendo,au kumbukumbu nzuri kwa mtu au tukio.Huko Latin America hupangwa barabarani au pembeni ya kuta za nyumba kusherehekea Christmas au Santa Fei.

Kwahio nilijiita Farolito kwa kuwa naupenda wimbo huu na maana yake halisi na kumbukumbu yake iliyobeba na jinsi taa hii ilivyosifiwa ndani ya wimbo huu.
]
 

Attachments

  • images.jpg
    50.3 KB · Views: 5
DIY do it yourself... Yes fanya kila kitu mwenyewe, mie ni mmoja wapo wa watu wanapenda fanya kila kitu, naamini hakuna binadamu hawezi fanya kile kitu ambacho mwenzie anaweza fanya ni determination tu, ukiwa mwanaume fanya kila kitu mwenyewe!
 
Aisee,na kwenye avatar ukaamua kutanguliza miguu kwanza[emoji3]
 
Kwahio umechagua upande wake?bado unamtegemea?
 
Aisee,mipango ya watoto 12 inaendelea?umefikisha wangapi mpaka sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…