Kwann niwe single jamaniKumbe bado single
Exactly Agresive [emoji28]Kwa hiyo jina linasadifu uhalisia wa maisha yako
Sorry chief 🖐Mkuu dah! Badala nije nifafanue mwenyewe 😬😁
Mimi chiefHa ha ha kwa hiyo tusikuchulie poa ngazi ya familia we ni mtu mkubwa Chief
Mchokozi na mchochezi huyo jamaa.Ha ha ha ameanza kukuchokoza