Bora umemwambia[emoji23][emoji23][emoji23]kwani maana ya kuhide id ni nini tunaelewa tumeficha id zetu na haya ma id feki mengine ni matusi achana na mambo hayo ukishafahamu inakuwaje mkuu kila mtu ameweka ka sababu zake unless uwe umtafutr mtu uliyevutiwa na id yake pm akuelewe?............................
vinginevyo wacha ufukunyuku
Aisee!Langu ni initial za majina ya Xs.
Cresensia, Hamida, Anthonia, Rose, Milah, Ivona, Laurencia, Tina, Oliver na Nandita.
[emoji3]your [emoji723] very amazing! Natamani kukuona [emoji85]karibu jf
mie ID yangu imetokana nyota yangu ya simbaWakuu
Hapa JF tunatumia id zenye majina yasio halisi, itapendeza tukijua ni nini maana ya Id yako
Pia kwanini unaitumia
Naanza na mimi Mr swax
Hii inamaana ya bwana swax, swax ni kifupisho chenye swaga zinazotumiwa na vijana kuwakilisha mji wa sumbawanga!
Naitumia kuwakilisha my home town, swanga
Wewe huko vp
kwahiyo unadhani sijui ni chit chat?Jf ina majukwaa mengi
Huenda hata maana ya chit chat huijui
Hujiulizi kwa nini hii topic sjaiweka jukwaa la eimu, uchumi au siasa?
achana naye ngoja niendelee na mambo mengineBora umemwambia[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo nawe ni mtoto!?Sidhani hili jukwaa kama kuna watu wazima ,nahisi ni jukwaa mahsusi kwa ajili ya watoto
tehe tehe tehe ntakujia kwenye ulimwengu mwingine[emoji3]your [emoji723] very amazing! Natamani kukuona [emoji85]
[emoji39] [emoji85]tehe tehe tehe ntakujia kwenye ulimwengu mwingine
Mabandiko mengi ya chit chat forum huwa hayana mashiko ,mengi yamejaa mada za kitoto totoKwa hiyo nawe ni mtoto!?
Duh!! Namimi ila unijie kwa ulimwengu huutehe tehe tehe ntakujia kwenye ulimwengu mwingine
Dah.... Umegonga mulemule mwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Langu ni initial za majina ya Xs.
Cresensia, Hamida, Anthonia, Rose, Milah, Ivona, Laurencia, Tina, Oliver na Nandita.