Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

kwani maana ya kuhide id ni nini tunaelewa tumeficha id zetu na haya ma id feki mengine ni matusi achana na mambo hayo ukishafahamu inakuwaje mkuu kila mtu ameweka ka sababu zake unless uwe umtafutr mtu uliyevutiwa na id yake pm akuelewe?............................

vinginevyo wacha ufukunyuku
Bora umemwambia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu
Hapa JF tunatumia id zenye majina yasio halisi, itapendeza tukijua ni nini maana ya Id yako
Pia kwanini unaitumia

Naanza na mimi Mr swax
Hii inamaana ya bwana swax, swax ni kifupisho chenye swaga zinazotumiwa na vijana kuwakilisha mji wa sumbawanga!

Naitumia kuwakilisha my home town, swanga
Wewe huko vp
mie ID yangu imetokana nyota yangu ya simba
 
ngailo jina la ukoo nkaona nilibrand social media zote iwe rahisi kupatikana....kwe profile picture hilo jogoo nilikua nalipenda sana nakumbuka maza alinipa kazi ya kuchinja mwaka 2011 so nkaona nilipesifa stahiki kama FARU JOHN🙂🙂🙂
 
1.0
 
wakati najifunza kuongea niko mdogo sikuwa naweza kuita jina la uncle wangu Karama na tulikuwa tunapatana sana nikawa namwita Tamama basi yeye mpaka kesho akiniona pamoja na utu uzima wangu ananiita Tamama
 
Yangu ni siri nikikukwambia tu! Imekula kwangu nitakuwa nimejulikana na umma Wa Tanzania
 
Back
Top Bottom