Hiyo ndio top ten ya KE niliowakubali........Walifanya historia iwe tamu kila niikumbukapo.Dah.... Umegonga mulemule mwana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
tehe tehe tehe haya jiandaeDuh!! Namimi ila unijie kwa ulimwengu huu
hahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaBigmind (akili kubwa) chukua tahadhari unapofanya conversation na mimi.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
interesting...wabongo sisi hujipachika majina
hatakama hayana maana yenyewe
humu ndani kuna semenya,gongaonga nk.