Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Jina hili nilipewa na watu wangu wa karibu kutokana na magari ninayoingiza mara kwa mara yakiwa saba au zaidi.

Ndio likaanzia hapo
 
KWEZISHO - Kitongoji katika kijiji chetu na ndipo kulipo na chemchem ya maji mengi inayotegemewa na watu wengi kipindi cha kiangazi, ila kando tu ya hilo eneo kuna shamba langu.
-Kwa kisambaa ina maana kwenye jicho.
Onga umbuje.
 
Hili ni jina langu kweli.
Kipindi hicho nazunguka kwenye gyms na sehemu mbalimbali kwa ajili ya kujiweka fit nikaingia kwenye ubondia.

Kila bondia anataka jina la kutisha wenzake, nikatumia langu la ukweli ili kudhihirisha kua hata katika uhalisia wangu bado nina uwezo wa kukutisha (ingawa nafikiri sura yangu ndiyo iliwaogopesha[emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji23] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji12] )
 
the boss...............ni kwa sabbu kweli i amm the bossi.
Hili jina ni jina langu nje ya jf.

Na nilishangaa nilipojiunga kukuta mtu mwenye jina kama langu.


Sasa wengi hua wanachanganya wanafananisha jina lako na langu.


Hua nakazi ya ziada kusema huyo wa jf sie Mie.
 
Ukikua utaacha kuulizia kwa lengo la kufahamu ID za Watu hapa JF!
 
Nasemanao - nimekamatwa na polisi wamenizunguka, wamenidhulumu haki yangu ya msingi kwa kutumia mabavu lakini sijakata tamaa naendelelea kusemanao mpaka nipate haki yangu, haki yangu ya kulindwa na polisi na sio kupigwa kuchezea virungu na uonevu wa kila aina, haki yangu na uhuru wangu na sio kununua haki kwa rushwa wakati sina kosa lolote mtanzania mimi.
 
Fanya upeleleze kituo cha mawasiliano hapa hupati kitu. Potea rudi kwenye desk waambie mission impossible
 
Mi langu hata halina maana yeyote nimejisikia kuliweka tuu,
 
Reactions: BAK
Pole sana Mkuu endelea kupigania haki yako mpaka kieleweke.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…