Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Na jina la Muhenga kijana je?
 
Nani asiyemjua genius was ulimwengu Leonardo da Vinci?
Napenda alivyokua anavipawa vingi Na uwezo mkubwa was akili. mm napenda niwe najua vitu vingiiiii kila sekta najitahidi kufuata nyendo zake huyo jamaa japo sitamfikia hats theruthi hi is my role model.
 
toka nipo Jf is mebadir jina Mara 3. kila jina nililo badir lina historian yake.
>>Mondray
nilipewa Na demi flani chuoni aligeuza kutoka jina halisi.
nilitumia sana Chitchat Na MMU Na makapuku forum.
>>Gentries
Hili nililitoa kwa msaanii toka arusha alimva wimbo unaitwaa Chapaa.
"Bado kunahabari kinga haimalizi hamu, bado kunahatar mpenzi ukimwacha Na hamu. hii niliitumia kusaka maduu Jf Na kutania watu

baaada ya kufanya utumbo wote humu ukafika muda was mimi kutoa Yale niliyonayo kichwani ndo nikajisajili as davinci
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…