Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Inaelekea ulikuwa genius sana hadi leo uwezo wako nauona kwenye mada na michango yako humu jamvini.
 
Mm nilikuwa ndio najiunga jf mara nikasikia tukio moja kafanya rafiki yetu mmoja la kutisha nikasema hii sasa kali maana alikua mtu wa matukio ila hilo la mwisho lilitisha ndio nikajikuta nimejiita hivyo kama kumbumbu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Wakenya wanaelekea kuwa na tamaa maana kuna kipindi wananchi waliandamana kwenda bungeni na nguruwe kuonesha ulafi wa baadhi ya wabunge wa kujiongezea mishahara huku hali za wananchi zikiwa duni.
Mimi Mkenya Na nilipofika hapa nikaona waTZ wanawachukia sana wakenya, wanawaita wezi, nyang’au etc. Nikaona isiwe shida nijiite Mkenya mwenye tamaa tu.
 
Pole sana mkuu na pia hongera kwakuwa na mapenzi ya dhati hadi kumpa hadhi ya jina lake wewe kulitumia.
 
Niliona comment yako mahali ukisema kuna mpenzi wako uliyemwamini sana mwishowe alikutapeli elfu 85 hadi leo hujamsamehe.
 
Genius wa mtaa au sio mzee baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…