Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

nilikuwa kwa mangi napiga tungi nimekaa kwenye tairi yale yanayowekwa baada ya kutumika kama mpaka, pale yalikuwa mengii sasa unakula vyombo ukiwa umelala katikati ya matairi miguu juu . kunawatu wabishi kisha hawajui mambo mengi wapo tuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

T[emoji769]
 
13 mega pixel, hili jina nilipewa na mwanangu mmoja ambaye aliona uwezo wangu mkubwa wa kufanya mambo makubwa naye alikuwa anapenda kupiga sana picha, na kipindi hiko ana kamera flani ya zaman 2 mega pixel 15x optical, alinikubali sana sana akaanza kuniita 13 mega pixel na jina lingine alikuwa ananiita dingi, kabla hata hilo jina halijaenea chuga kisa nilimchukuwa dogo flani alikuwa anaishi maisha magumu sana na kumuhamishia home kwetu nikawa kama baba yake hiyo nilikuwa form 3, dogo yupo form 1 sasa hivi ni moja ya msanii mkubwa wa music wa kufoka foka hapa tz kutokea chuga...majina yangu ni 13 mega pixel, na dingi (2005) na lingine la advance ni budege (gari taka) baada ya kucharaza sana watoto wa kishua kwenye hiyo shule na nilikuwa sichagui sibagui
 
Kaka una hatari kwelikweli... [emoji2][emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzabhe ni msosi wa asili kwetu kg, yaan mihogo inachemshwa then inawekwa kwenye chombo chenye maji then kila mmoja anakuwa anajisevia, mnaweza mkaotumia hiyo mizabhe hata wiki nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Penadu au penadur ni dawa moja ya sindano nzito kama uji dozi moja lazima uchomwe tako zote mbili yaani nusu huku nusu kule... Maumivu yake sasa dah usiombe hakuna sindano yafikia maumivu yake naipenda dawa hii sababu hutumika kwa wale wagonjwa vidomo domo na kelele nyingi vinajifanya vinajua saaana basi ukiiandika ah lazima aombe pooo mdomo wote kwisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naitwa Seleman Milao lakini toka nikiwa mdogo nimekuwa nikiitwa Selle Milao na hadi sasa naitwa hivyo jina kamili utaliku vyeti
 
NANKOTIMA....Mkuu hata mimi mwenyewe sijui ila nahisi itakuwa ni mbinu ya kuescape kwenye utumwa kwenye ile slave trade.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…