ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,247
- 6,578
My favourite episode,,Tom And Jerry... Ile Episode ya El Magnifico. ...Yeah i know it sounds childish!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My favourite episode,,Tom And Jerry... Ile Episode ya El Magnifico. ...Yeah i know it sounds childish!!
Me konde boy unasemaje mkuuMkuu tujuane tuliopo mtwara
Mimi umri wa kustaafu bado Sana mkuu huyo mstaafu namfahamu na ni ndugu yanguBasi all the years huwa nakufananisha na yule jamaa mstaafu wa JWTZ alikuwa anaitwa Melkiory.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Basi my hypothesis was correct...aisee hongera sana. Hoping upo alipokuwa mzee.Mimi umri wa kustaafu bado Sana mkuu huyo mstaafu namfahamu na ni ndugu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
I like your signature chiefBasi my hypothesis was correct...aisee hongera sana. Hoping upo alipokuwa mzee.
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Ok, roger that.
Okok
Mkuu hiyo sentensi yako ya mwisho inaleta ukakasi hasa tukiunganisha na ile stori yako
Hawajui kuwa ukarbu wa binti na baba, unaweza kumfanya binti ajiite mtoto wa baba...Kuna watu wanasema eti me mwanaume kisa I'd
InterestingNikiwa mdogo nadhani darasa la tano hivi, katika shule moja ya kidumu na fagio, kulikua na utaratibu wa kukaa watatu kwenye dawati moja na ni lazima kuwe na uwiano wa kijinsia (angalau 1:2). Sasa mimi nilikua ni mmoja wa wanafunzi pendwa kwa maana nilijitahidi kufanya vizuri darasani, kwahiyo watu wengi hasa watoto wa kike walitaka kukaa na mimi (wakati huo sijui nini mapenzi), mimi nikawa sipendi kukaa na watoto wa kike. Ikawa kila nikipangiwa wadada wa kukaa nao nawafukuza, ama nawapangia sheria kali za kufuata kwa kuwaambia mimi ndie kidume kwenye lile dawati. Ndipo mwalimu mkuu alipopelekewa malalamiko na kuja kunionya darasani, akasema ninasumbua wasichana wanaopangiwa kukaa na mimi, ninawaambia mimi ni Munamuge (ikimaanisha Baba mwenye nyumba kwa kisukuma), kwahiyo ninataka sheria zangu zifuatwe.
Kutoka siku ile yule mama akawa akiniita “Munamuge”.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Uko sahihi mkuu,,, na Mimi pia nimejiita hivo maana nimeishi na baba tuHawajui kuwa ukarbu wa binti na baba, unaweza kumfanya binti ajiite mtoto wa baba...
Lakin sis wavulana na baba uwa ni X
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu,,, na Mimi pia nimejiita hivo maana nimeishi na baba tu
Ila ninyi wanaume na mama ni best friends vile vile
Very nice!Kwa kingereza Mimi nipo huru freed na sasa nimepewa Uhuru wa kuongea na hivyo aliyehuru kawekwa huru yani Freed Freed.