Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAK hebu nikumbushe niliwapa maana gani, nshasahau
natokea MOROGORO milimani kule sehemu fulani AMAZING
nikiwa na miaka 9 tu nilizimia miezi 2 MILIMANI kwenyewe nikifundishwa Mitishamba na kupokea MAELEZO mbarimbari
ndipo nilipofikisha miaka 12 nikakabidhiwa ZANA kamili na MZIMU WA KOLELO na ZOEZI la kwanza nililofanyia FIELD nikiwa na KIONGOZI mkuu ni KUTULIZA kifimbo cha BABA YETU wote
kilichozua taharuki huko kwake ilikuwa no mwaka mmoja toka afariki uko UK
tukamkabidhisha mwanae
nadumisha mila ni mimi
MZIMU wa KOLELO
I think ni ile The Long wait, Lorrea na Lorrinda/Red butterflyMhh mi ilitokea tu kila jina nnaloweka already used,LadyRed likakubali, nlilikumbuka kwny tamthilia flani hivi ya kifilipino, the promise nadhani,kulikua na mapacha hivi Red sijui na nani,em nikumbumbushe anaeikumbuka,
NO ! siweziHmmmmm! Very interesting, hebu funguka zaidi kama utaweza kuhusu taharuki za kifimbo cha Baba yetu.
MZIMU wa KOLELO
Ohhh yeeees hio hioooI think ni ile The Long wait, Lorrea na Lorrinda/Red butterfly
Tuonane basi leo kama upo mjini, au ndo siku ya kutembelea mashamba yakoamerican spy nimekumisoo
Haujatoa maana ila nahisi hilo jina asili yake Brazil nikirefer RonaldinyoBAK hebu nikumbushe niliwapa maana gani, nshasahau
Aaah kumbe unanidanganyaga tu humu,, so peke yangu ndo nina sura ya mjomba angu? Nimekomaaa
Sidanganyiki khaaa, wewe na nshomile sina hamu na nyie. Yani sitaki tena ushirikiano na nyiehizo zilikuwa swaga tu za kumnasa baba yako mwanangu, so hata usitishike hata!!
Sidanganyiki khaaa, wewe na nshomile sina hamu na nyie. Yani sitaki tena ushirikiano na nyie
Sidanganyiki khaaa, wewe na nshomile sina hamu na nyie. Yani sitaki tena ushirikiano na nyie
Edward Lowasa Yuleee (ELY)T-TANZANIA
1990-MWAKA WANGU WA KUZALIWA
ELY-KIFUPISHO CHA JINA LANGU