Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

maana ya jina langu ni mtawala ama kiongozi kwa kichagga au kikamba
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahahah..!! unaniangusha sasa babu! Vitu kama hivi unatakiwa uvijue ili uwafundishe wajukuu!

Ayubu hakulewa, na hakulala na mabinti zake! Aliyefanya hivyo ni Lutu.

Yaani unanifikiri ingekuwa Keren_Happuch amefanya hayo, ningechukua jina lake, aakha!!!! Tabia nyingine zinatembea na majina ati!

hakuna Nabii wa Mwenyezi Mungu, ambaye amefanya ujinga ! Huo ni upotoshwaji, na ndio maana kuna vitabu vina 'mashaka' !
 
Hii ni post nzuri sana, asante sana Bubu. Ni moja kati ya posts nilizozipitia mwanzo hadi mwisho. Ni vizuri kufahamiana.

Nashukuru sana Mkuu.
 
Mimi ni mtu wa furaha muda wote, napenda kusifu, napenda kushangaa na kushangalia. Ninahakikisha kabla ya kulala ninaingia kitandani nikiwa na furaha, nikiamka ninatafuta sababu ya kuwa na furaha. Siku inapita, maisha yanakewnda. MAMMAMIA is an Italian expression!

Nikiona zuri, Mammamia!; baya, Mammamia!; mchangiaji ameweka vitu safi, Mammamia!; hata anayeboa, Mammamia!; msichana aliyeumbika, oooooh, Mammamia!

Otherwise ningeweka OMG (Oh My God), lakini hii nimeipenda zaidi.

Hongera zako Mkuu kuwa nafuraha kila siku iendayo kwa Mungu ni kitu muhimu sana huongeza maisha yetu hapa duniani kwa kuyafukuza magonjwa mbali mbali yanayoweza kutokea kwa kununanuna.
 
maganga jina la utoto . uongo kwangu mwiko ntasema kweli daima amina mungu nisaidie
 
Tuko wengi wenye kufanana historia

Unaweza kumpata kama kweli ulimpenda usikate tamaa, kumbuka milima haikutani lakini binadamu twakutana.
Huwezi amini mie mtu ambaye tulipotezana miaka 13 iliyopita , tumekutana kumbe na yeye hivyo hivyo kama wewe ulivyosema alikuwa ananipenda lakini hakunitamkia chochote. Kumbe alikuwa ananifatilia information zangu kinyemela.
 
Nilipojoin JF hawa watu walikuwa maarufu sana humu kwenye jamvi, wako wapi jamani hawa watu?


nawakumbukia wakongwe kina FMES, Fair Player, Halisi, Mwafrika wa Kike, Game Theory, Saidi Yakubu, Mtanzania, Mzelendo halisi, Kada Mpinzani na wengi wengineo![/QUOTE]
 
Excellent~~~~huwa napenda sana kusoma hadithi za kale,kazi za fasihi kwa ujumla,hilo ilinisaidia sana kuogeza uelewa kwenye kazi za fasihi na mwalimu wangu alikuwa anapenda sana kuniambia excellent pale ninapojibu,ikanijengea mazingira ya kuzoea neno hilo
 
Pelekaroho ni jina langu nililorithi kwa babu yangu ambalo na yeye alipewa na baba yake baada ya kuwa ni mtu wa kupenda saana kulala yaani kupelekaroho
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nilikuwa nasoma tu bila kuchangia sasa nimejiunga na jf kama memba na kutumia jina hili kwani hii nchi inahitaji ukombozi hasa dhidi ya mafisadi wanaolindwa na geshi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mimi langu kama linavyojieleza lenyew la kwanza ni langu halisi (blessing) na me ni mwenyewe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom