Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Lilikuwa jina langu la kusainia autograph secondary. Eclat ni neno la Kifaransa maana yake courage.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lilikuwa jina langu la kusainia autograph secondary. Eclat ni neno la Kifaransa maana yake courage.
Pole sana mkuu. Jitahidi uingie na wewe uwanjani,,, najua ni ngumu ila inawezekana....hata Mimi nilianza kwa kusota bench.Swal namb 3 limenigusa saan mkuu kwan nipo bench kitambooooo Saab,,,jf ndo inaniondolea stress kwa kupenda kucheka
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaap Id yako inanipaga kicheko na sinaga sababu ya msingi ila ndoivoHahahahaha nimekuelewa mkuu....ila kwa hiyo I'd yangu inakuchekesha
Kuhusu mbege I was joking.. Na nilikwambia mkuu maana nisingeweza kubeba pombe wakati situmii
Hii I'd watu wanasema imekaa kiume hahahahahYaaap Id yako inanipaga kicheko na sinaga sababu ya msingi ila ndoivo
Mbege nilijua unanitania ila utan wako unanifany nikikuona nikuchokoze mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu Wa kwetu sote mkuu najua ipo siku ntakua bize zaid ya saiz,,Pole sana mkuu. Jitahidi uingie na wewe uwanjani,,, najua ni ngumu ila inawezekana....hata Mimi nilianza kwa kusota bench.
Hahahahha dahZesh jina langu hiyo chriss huyo alikua bwanangu kipindi nafungua hii akaunti so kwa mapenzi niliyokua nayo kwake niliamua kujiita zeshchriss ......
Mapenzi kitu cha kipumbavu sana eti time hii hatuongei mi na Chriss dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Imekaa kiume ila napenda kuwa na rafik mweny ukiume ndan yakeHii I'd watu wanasema imekaa kiume hahahahah
Basi Siku moja nitakukaribisha kuja kunywa mbege mkuu
Nambie msh'kaji wangu...
Ray ni kifupisho cha jina langu. Ila pia Ray of Light is my favorite album kutoka kwa MadonnaNaamini huenda kila mmoja wetu hapa Jamii Forums ana chanzo/sababu mahsusi ya kuja na ID yake aidha kuna jambo/tukio lilimvutia/huzunisha hivyo kuja na Id fulani.Binafsi Id yangu ilitokana na kipindi fulani kufanya kazi kwenye 'Camp' moja ya wakimbizi hivyo wakati huo ndo nimeanza kuingia Jf kama Guest kabla ya kujiunga rasmi.Neno 'cmp' nimefupisha neno camp.
Nambie msh'kaji wangu...
Physical appearance yangu ndo imenipa hii ID
Hahaha mkuu umenikumbusha...
Id yangu ilikua hivi,...
Ni kipindi natoka Rwanda nikiwa na wenzangu wanne sasa tuliondoka mda sio Kigali tukafika boda mida ya usiku na hapakua na usafiri wa kutuchukua kwa upande wa Tz. Sasa akatokea mchaga mmoja ana semiteller akatuambia atuchukue kwa elfu mbili mbili kwa kila mmoja mpaka mbele mbele. Sasa tukapanda kwenye kontena mulikua na magunia kama saba ya karoti, hakika siku hiyo nilitafuna kama za kwangu. Na hapo ndo jina hilo likapatikana.
Naupenda sana wimbo wa Roger mila wa pepe kale kuna maala anataja jina la kunde ekeke kwa ustadi mkubwa
Teh teh.
Sijui niandikeje ? Yaani !!
Naamini huenda kila mmoja wetu hapa Jamii Forums ana chanzo/sababu mahsusi ya kuja na ID yake aidha kuna jambo/tukio lilimvutia/huzunisha hivyo kuja na Id fulani.Binafsi Id yangu ilitokana na kipindi fulani kufanya kazi kwenye 'Camp' moja ya wakimbizi hivyo wakati huo ndo nimeanza kuingia Jf kama Guest kabla ya kujiunga rasmi.Neno 'cmp' nimefupisha neno camp.