Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Daah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.

Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi

japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia

Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu

Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .

ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli

Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
Leo tunalewa wapi
 
Ah! Bella ciao Bella ciao Bella ciao.
Kama umeangalia Lacasa de Papel... Kuna nyimbo anapenda kuuimba Berlin na Professor....

Bella ciao maana yake ni kwaheri mrembo, original ya huu wimbo ni wimbo wa mapinduzi katika nchi ya ITALIA
 
Mimi ni Mwandishi wa kujitegemea,naandika nakala mbalimbali....
 
Maisha nikamari, I lose some & I win some.
I can keep the poker face so well even when the stakes are high
 
wakati nikiwa advance katika shule moja iliyopo kandokando ya ziwa kubw hapa nchini sasa siku tukiwa zetu beach tunafua na washkaji zangu basi nilikuwa na taulo moja hv la kizamani kwa rangi na michoro ake asa nilikuwa nmelivaa huku nikiwa kifua wazi basi kutokana na muonekano fulani wa mwili wangu basi jamaa angu akasema naonekana kama yule muigizaji wa movie ya spartacus ..basi mpk leo wamenizoeza hv mpk leo naitwa hv basi nikaona sio ishu nikilitumia humu jf
 
Hiyo work permit una... apply kwa kujaza fomu kwa U.S. Citizenship and Immigration Services (USCIS). ambacho ni kitengo kinachohusika kwa kutoa vibali kwa wageni kufanga kazi Marekani..watahitaji docs chache kwako kama vile picha za passport, kuna fomu flani flani utajaza then utapewa kitambulisho ambacho ndiyo work permit yenyewe....hiki utakionyesha kwa mwajiri anayetaka kukuajiri ili ajue uhalali wako kufanya kazi America
Oh nimekuelewa vizuri.
Akhsante kwa maelekezo,nimejifunza mengi.
Siku bongo kukiwa halueleweki Sana tutajilipua kwenda huko hata kazi ya usafi tu inatosha.
 
Leo nalewa nyumban kwa kuibia wamenipa vidonge wameniambia nisinywe na huyu mdada hapa yupo hapa ananisaidia saidia mambo ya home ni jirani yangu

anapiga patrol kuchek Kama nina mzgo ila nimetia konyag zangu kweny kidumu cha Kilimanjaro bado hajagundua anajua nakunywa maji

Haya mambo ya kufatiliana haya ngoja nimkaushie tu maana ananiambia akiniona nalewa atamwambia baba mwenye nyumba mi mgonjwa nalewa ntamletea murder case
Leo tunalewa wapi
 
Leo nalewa nyumban kwa kuibia wamenipa vidonge wameniambia nisinywe na huyu mdada hapa yupo hapa ananisaidia saidia mambo ya home ni jirani yangu

anapiga patrol kuchek Kama nina mzgo ila nimetia konyag zangu kweny kidumu cha Kilimanjaro bado hajagundua anajua nakunywa maji

Haya mambo ya kufatiliana haya ngoja nimkaushie tu maana ananiambia akiniona nalewa atamwambia baba mwenye nyumba mi mgonjwa nalewa ntamletea murder case
Sawasawa mzee, mdogomdogo
 
Leo nalewa nyumban kwa kuibia wamenipa vidonge wameniambia nisinywe na huyu mdada hapa yupo hapa ananisaidia saidia mambo ya home ni jirani yangu

anapiga patrol kuchek Kama nina mzgo ila nimetia konyag zangu kweny kidumu cha Kilimanjaro bado hajagundua anajua nakunywa maji

Haya mambo ya kufatiliana haya ngoja nimkaushie tu maana ananiambia akiniona nalewa atamwambia baba mwenye nyumba mi mgonjwa nalewa ntamletea murder case
Hivi kaka yangu unadhani pombe zitabadilisha uhalisia wa Mambo yaliyotokea!???
Ukweli Ni kwamba pombe zitakuchakaza tu, sometimes ukilewa Sana unakuwa Kama mjinga km jinsi ulivyosema kwamba unaweza lala bar,utatapika,,unahatarisha afya yako...
Huoni Kama Ni hatari kunywa wakati mgonjwa!??. huoni km inaweza kukusababishia madhara au kifo kabisa?.
-Vipi baada ya kunywa mawazo yameisha!.?
-Uhalisia wa Mambo umebadilika!?
Kuna faida gani katika pombe!??
Ukifikiria haya utajua ukweli kwamba uhalisia wa Mambo uko pale pale...
There is no way you can change your past my brother.. you have to accept it without any regret..
Now you have to handle your present with all your confidence.. don't allow your past to destruct your present and your future.

Kwanini usiachane na hayo maisha ya ulevi ambayo hayana faida yoyote, nadhani hata wewe umeona hayana faida,, Zaidi vitu vimebaki Kama vilivyotokea....
Natamani Sana ubadilike., nitafurahi Sana endapo utabadilika,,je upo tayari??
Tafakari tena,, maisha yako kiujumla..kweli kote ulikotoka,ndoto zako, Jinsi ulivyo fight huko nyuma,elimu yako..unataka vipite bure!??
Hukuzaliwa uishi hivi unavyoishi.
Hukuzaliwa uumie.
Tafakari tena
Yupo rafiki mmoja,mwaminifu,amejaa kweli.
MLEVi Mmoja
 
Hivi kaka yangu unadhani pombe zitabadilisha uhalisia wa Mambo yaliyotokea!???
Ukweli Ni kwamba pombe zitakuchakaza tu, sometimes ukilewa Sana unakuwa Kama mjinga km jinsi ulivyosema kwamba unaweza lala bar,utatapika,,unahatarisha afya yako...
Huoni Kama Ni hatari kunywa wakati mgonjwa!??. huoni km inaweza kukusababishia madhara au kifo kabisa?.
-Vipi baada ya kunywa mawazo yameisha!.?
-Uhalisia wa Mambo umebadilika!?
Kuna faida gani katika pombe!??
Ukifikiria haya utajua ukweli kwamba uhalisia wa Mambo uko pale pale...
There is no way you can change your past my brother.. you have to accept it without any regret..
Now you have to handle your present with all your confidence.. don't allow your past to destruct your present and your future.

Kwanini usiachane na hayo maisha ya ulevi ambayo hayana faida yoyote, nadhani hata wewe umeona hayana faida,, Zaidi vitu vimebaki Kama vilivyotokea....
Natamani Sana ubadilike., nitafurahi Sana endapo utabadilika,,je upo tayari??
Tafakari tena,, maisha yako kiujumla..kweli kote ulikotoka,ndoto zako, Jinsi ulivyo fight huko nyuma,elimu yako..unataka vipite bure!??
Hukuzaliwa uishi hivi unavyoishi.
Hukuzaliwa uumie.
Tafakari tena
Yupo rafiki mmoja,mwaminifu,amejaa kweli.
MLEVi Mmoja
Leave him alone!
 
Nilipokuwa sumbawanga nikiishi kwa dada yangu wakati huo.
Alikuwa na watoto watatu wote wakiume walikuwa wananipenda sana nami niliwapenda haswa huyu wa mwisho alinipenda hadi asiponiona chakula hawezi kula.Nliwalea hivo kwasababu michezo na taaluma vyote nilivyopenda mimi toka udogoni hawa madogo nilitaka wapite humohumo maana walinijua mimi ni mjomba wao ambae kama baba na mama wakiwa hawapo wanajua mi nitawafanyia kila wanachotakiwa kupatiwa.Huyu mtoto wa mwsho akiwa na miaka minne alikuwa akiona namwandalia msosi ananisifia sa asa kuna siku wakati natembeatembea nae huku naongea nae akaanza kusema kwa kuimba ilihali sijawahi msikia wala kusikia sehemu yoyote wakisema hli neno "FOCAL MANDUNDA"akawa anaimba nikamsikiliza nikalipenda nikaanza mfatisha kuimba..focal mandundaa... ooh!yeah!!kumbe focal mandundaaa..bas tukifurahi tukawa tunaimba huo wimbo hata nilipoondoka kwa kutoroka lakini yule mtoto nilipata taarifa zake kwamba usiku alikuwa halali kwasababu mimi hanioni.Kwahyo hilo jina ninamuenzi mtoto wa dada yangu aliyeanzisha kupitia wimbo aliotunga.Namkumbuka sana.Mashabiki wa soka tuelewane kwamba hilo jina sijapunguza au kuongeza herufi kupitia kwa kipa wa simba aitwaye said mohamed maarufu kama "ndunda".
 
Kwa sababu .nilikuwa naona kila mtu na avatar yake vinanivhanganya.nikaamua Mimi niwe mtu flani tu .yani mi mwenyewe hadi sasa sielewi mtu flani yupi sasa na yupo wapi ila mtu flani naipenda sana Jf ndo ilinifanya nijiite mtu flani
Bro Maxence Appreciate you Blood
#Mtu_Flani
 
Ule wimbo wa 'Nini dhambi kwa mwenye dhiki' ndio wimbo wangu bora wa rap wa wakati wote mwimbaji akiwa Faza Nelly na crew nzima ya Xplastaz.
Baada ya kifo chake nikaamua kumuenzi kwa kutumia jina lake na picha yake humu
 
Back
Top Bottom