Hivi kaka yangu unadhani pombe zitabadilisha uhalisia wa Mambo yaliyotokea!???
Ukweli Ni kwamba pombe zitakuchakaza tu, sometimes ukilewa Sana unakuwa Kama mjinga km jinsi ulivyosema kwamba unaweza lala bar,utatapika,,unahatarisha afya yako...
Huoni Kama Ni hatari kunywa wakati mgonjwa!??. huoni km inaweza kukusababishia madhara au kifo kabisa?.
-Vipi baada ya kunywa mawazo yameisha!.?
-Uhalisia wa Mambo umebadilika!?
Kuna faida gani katika pombe!??
Ukifikiria haya utajua ukweli kwamba uhalisia wa Mambo uko pale pale...
There is no way you can change your past my brother.. you have to accept it without any regret..
Now you have to handle your present with all your confidence.. don't allow your past to destruct your present and your future.
Kwanini usiachane na hayo maisha ya ulevi ambayo hayana faida yoyote, nadhani hata wewe umeona hayana faida,, Zaidi vitu vimebaki Kama vilivyotokea....
Natamani Sana ubadilike., nitafurahi Sana endapo utabadilika,,je upo tayari??
Tafakari tena,, maisha yako kiujumla..kweli kote ulikotoka,ndoto zako, Jinsi ulivyo fight huko nyuma,elimu yako..unataka vipite bure!??
Hukuzaliwa uishi hivi unavyoishi.
Hukuzaliwa uumie.
Tafakari tena
Yupo rafiki mmoja,mwaminifu,amejaa kweli.
MLEVi Mmoja