Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Time will come usiwe na harakaRelief Mirzska Hadi Leo nasubiri tafsiri ya jina lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Time will come usiwe na harakaRelief Mirzska Hadi Leo nasubiri tafsiri ya jina lako
Sijaona ndio Kwanza nAingiamkuu, umeona ujumbe wangu kule kwenye ule uzi ?
basi nakuja PM mkuuSijaona ndio Kwanza nAingia
Kindi ni kijiji kinafuga majambazi sana. Waliwahi kumuua Padre kwa ajili ya sadaka.Asalam wanajamvi?
Niende moja kwa moja kwenye mada! nini kilichopo nyuma ya hilo jina. Nini unakikumbuka ukajiita hilo jina! yapo majina mengi yanatoa tafakari na burudani!
Nikianza na mimi kindikinyer leborosier
Ni muunganiko wa vijiji vinne vilivyoandkwa kwa kifupi:
Kindi ni kijiji kimoja kipo kibosho kilimanjaro ambapo niliwahi kukaa kwa miaka minne nilijifunza uchaga na tamaduni zao zilinivutia na hua napakumbuka sana!
Kinyer (lendikinya) ni mtaa mmoja upo monduli umasaini niliwahi kwenda kusanya data nikajifunza mambo mengi ya kimasai.
Na tamaduni zao pia!
Leboro ni kijiji kingine kipo Manyara wilaya ya mbulu kata ya mama isara, ni chimbuko la wambulu (wairaki) niliwahi kwenda kukaa na kufanya shughuli zangu pale kwa muda pia, ni mahali pako vizur sana milima ile hali ya hewa ya ubaridi.. napakumbuka sana!
Na mwisho sier (esere) ni kijiji kipo wilaya ya ngorongoro mkoa wa Arusha kata ya enduleni, hapa kuna mambo mengi sana yalinifanya niishangae sana Tanzania, madini, mapango ya kale, na nyayo za mtu wa kale ambae zipo pembeni kidogo panaitwa laitolye, wanaishi wamasai nilijifunza mengi pia!!
Nini kinakukumbusha ukitazama jina lako la JamiiForums!!
Uzi tayari
Haha lazima wewe ni mchagga kutoka kibosho, mkabasia, mkanoti, mkabengi, mkachanuo.Jina langu hili nilipewa na Bibi yangu.Jina la kabila langu.Wenye hilo kabila wanaelewa.Maana yake ata sikumbuki.
Hivi rombo mkoani Kilimanjaro hakuna sehemu inaitwa makiadi?Mm asili ya jina langu Ni mwanamziki wa ki Kongo franco luambo makiadi nadhani haina haja ya kumuelezea huyu msanii maana alikuwa very popular hasa kwa nyimbo zake mamuu, Mario,pesa position , attention na sida, testament ya bouwe,azda,colonel Bangala nk
RIP FRANCO LUAMBO MAKIADI (1938_1989)
lucas mobutu
Ngoja nikushauri kitu ndugu kama unataka hizi kazi pitia HDV training veta ukipata cheti mjini kazi zipo uwe mvumilivu tu siku hizi kampuni nyingi haziitaji watu wa kushotoTuwe tunaenda wote mkuu mtaani hakunogi
Ngoja nikushauri kitu ndugu kama unataka hizi kazi pitia HDV training veta ukipata cheti mjini kazi zipo uwe mvumilivu tu siku hizi kampuni nyingi haziitaji watu wa kushoto
ni kweli.. ni kijiji chenye mikasa sana!Kindi ni kijiji kinafuga majambazi sana. Waliwahi kumuua Padre kwa ajili ya sadaka.
Unamfahamu vizuri Da Vinci? Nilisoma minovo yenye profile zake no "noma"The Most Polymath and Genius of all the time.
Jina la mwanangu
Nilikuwa napenda masomo ya biashara,katikati ya form three nikaumwa,nilivyopelekwa hospitali nikaulizwa kama nilikuwa tayari nimekula,sikujua kilichokuwa kinafuata,nilidungwa sindano moja Kali had I nikaanguka chini Akili ziliporudi nilimuuliza Dr.ni dawa gani nimedungwa,akajibu tu 5mega nikashindwa kuelewa ila nilichukua hatua zaidi nikabadili kwenda sayansi had I sasa ni PharmacistUnamfahamu vizuri Da Vinci? Nilisoma minovo yenye profile zake no "noma"
Aaah aaah hongera ila wale motivation speaker sio wa kuwaamini saana wanatuchuuza saana... Kama yule buffet sijui kama kwel kapitia ugumu.jina langu (la jf) ni buffet,,,,,,,,,,mwaka flani nikiwa depo ilifikia hatua nikakata tamaa na nikajawa na mawazo/fikra za kutoroka kwa ule msoto,,,,,siku moja tumetulia mesi nikachukua jarida kwa afande kimaro alikuwa anasoma,jarida hilo lilikuwa limechapisha habari iliyoandikwa na bilionea Warren buffet yenye title "economic intelligence",habari ile ilielezea sana mafanikio na harakati za kiuchumi lakin mm nilifanya kubadili context ya story,kutoka economic kuja militarily, ushuhuda aloelezea buffet na njia njia ngumu alopitia hadi anakuwa among the global billionaires ilifanya nijipe moyo na kuamini kuwa ninaweza pia na nitatoboa,asante Allah,I made it and am proud of this job,,,,Warren buffet is mine real model
mpaka sasa mambo yako sawia mkuu,karibu songea kikosi cha 411kj ruhuwikoAaah aaah hongera ila wale motivation speaker sio wa kuwaamini saana wanatuchuuza saana... Kama yule buffet sijui kama kwel kapitia ugumu.
Kwa iyo vipi ndugu baada ya kuakaza mambo yanenda sawa mpaka sasa?
Aaah aaah watata saana nyie tukiingia hanga zenu....mpaka sasa mambo yako sawia mkuu,karibu songea kikosi cha 411kj ruhuwiko
Hapo peke yake nimeumia Sana sipendi kusikia au kuona mtu anaishi maisha hayo japo anakuwa ameamuaDaah ni story ya kusikitisha na kuhuzunisha that's why nalewa ili niwe nasahau sometimes nalala kabisa bar nanyanyuliwa napalekwa home ..nikipata wasaa naperuzi jamii forums nkiwa kwangu nimejifungia peke angu sina mda na jirani wala watu.
Kwanzaa nimeacha assets zangu nkatoweka sjulikan nilipo na rafki nikisema ndugu nadanganya maana Mimi mwenyewe siwajui ndo nina almost 3yrs nimekuja kuishi hili eneo as ordinary person hakuna anaejua background yangu wala jina baba mwenye nyumba ananijua jina tu kodi namlipa fresh japo ananidanganya mambo mengine na michango hapo home ili kunipiga pesa Mimi Nampa tu sihoji chochote hajui nafanya kazi gan pesa natoa wapi
japo kuna sister jiran anijui jina ananiita mlevi mmoja ndo nimelipenda natumia humu ndo akiona nimechelewa kurudi atanitafuta ataomba Msaada nisaidiwe kubebwa sometimes anakuja ananisaidia kufanya usafi sometimes ananikuta asubuhi na pombe zangu kazaa mezani anazichukua anazitupa ananifokea sana sometimes ananipikia
Mara nilale kweny baraza za watu hapo nimelewa wananisachi wananichukulia phone pesaa ila hyo hainiumizi kichwa.. Pesa kwangu hazina samani ni jambo dogo.. Makaratasi.. Pesa sio kila kitu nyie jidanganyeni tu
Nalewa nazidiwa na pombe mpaka nazima kwa kifafa napelekwa hospital huyu sister sijataka kujua jina Lake namuita Miss annoying maana naona ni msumbufu ananifuatilia life langu ..well anakuja kunicheki hospital ananiletea matunda tunapiga story na nikiwa sijalewa naongea point na mcheshi kwelikweli .
ila zle story zangu zakwenda ugaibun kpind hcho kutafuna papuchi siziingizi tukiongea [emoji23] mabaharia mnaelewa..tuachane na hlo hako kalikua kautani tu sitaki mtu hapa nlpo ajue Mimi na background ila yote tisa Mungu ambariki tu kwakweli
Tuachane na hayo sku nikipata mda ntaandika kwa nini niko hivi nadhani kuna somo watajifunza watu
Nitafutie mbebez wa kijedampaka sasa mambo yako sawia mkuu,karibu songea kikosi cha 411kj ruhuwiko