Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Kipindi cha miaka ya 1994, lilikuwepo kundi maarufu sana la waigizaji nchini Kenya. ambao walikuwa wanarusha vipindi vyao kupitia KBC. Baadhi ya waliokuwepo kwenye kundi hilo ni Mzee Ojwang, Mama Kayayiii (mke wa mzee Ojwang), Masaku, Otorong'ong'o, Maliwasa, Makanyaga........