Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Nilikula hela ya ada kama laki 2 na ikafika tarehe za end of semester uongozi wa chuo ukatukatalia kuwa asielipa ada hafanyi paper zimebaki siku kama tatu tufanye nilikuwa sins raha laki 2 naipata wapi nikasema ngoja niombe mungu kwa siku 1 moja anisaidie nipate hela pindi nikiomba watu wanipe weee siku ya kwanza kila nikiomba kwa mtu hana siku ya pili hola daa nikasema ngoja niombe kwa shetani nikasema shetani nisaidie nibet nile nikabet mkeka nikala laki 5 daaa toka siku hiyo nikaamini shetani ukimuomba anakupa nikajitiita Iblis bin Shetan maana aliniokoa kweli
 
NIkiwa kwetu, kuna mzee tulikuwa tunaishia naye jirani, mjini. Sasa mijini kuna haya makundi ya ngoma za kienyeji yanayotoa burudani, kwa wakati huu kwenye masherehe. Kule kwetu kulikuwa na kundi la ngoma ya mganda, ambalo kila Jumapili kulikuwa na eneo fulani makundi haya yanatoa burudani bure. Unahama tu toka kwenye ngoma hii kwenda nyingine. Sasa huyo mzee (RIP Ngalikihinja) alikuwa ananilazimisha mimi nijiunge na kundi la ngoma ya mganda, maana ni ya kijiji kwetu. Nikajiunga na kuwa napiga ngoma ndogo (perekete - cocastic anaweza akawa anaijua). Kumuenzi nikaamua kutumia jina lake huku JF
Mlongoooo nimechekaaaaaaa sanaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikula hela ya ada kama laki 2 na ikafika tarehe za end of semester uongozi wa chuo ukatukatalia kuwa asielipa ada hafanyi paper zimebaki siku kama tatu tufanye nilikuwa sins raha laki 2 naipata wapi nikasema ngoja niombe mungu kwa siku 1 moja anisaidie nipate hela pindi nikiomba watu wanipe weee siku ya kwanza kila nikiomba kwa mtu hana siku ya pili hola daa nikasema ngoja niombe kwa shetani nikasema shetani nisaidie nibet nile nikabet mkeka nikala laki 5 daaa toka siku hiyo nikaamini shetani ukimuomba anakupa nikajitiita Iblis bin Shetan maana aliniokoa kweli
🤣🤣🤣 dah mkuu nimeona tu jina nimecheka mno na kufungua ndani ndo hadi machozi yametoka. shukrani sana kwa kushare.
 
Es = S - comes from initial name of mine
Mari - last spellings kutoka kwa jina la ukoo

All those make Esmari
 
Nilikula hela ya ada kama laki 2 na ikafika tarehe za end of semester uongozi wa chuo ukatukatalia kuwa asielipa ada hafanyi paper zimebaki siku kama tatu tufanye nilikuwa sins raha laki 2 naipata wapi nikasema ngoja niombe mungu kwa siku 1 moja anisaidie nipate hela pindi nikiomba watu wanipe weee siku ya kwanza kila nikiomba kwa mtu hana siku ya pili hola daa nikasema ngoja niombe kwa shetani nikasema shetani nisaidie nibet nile nikabet mkeka nikala laki 5 daaa toka siku hiyo nikaamini shetani ukimuomba anakupa nikajitiita Iblis bin Shetan maana aliniokoa kweli
Daah sio poa aseeh
 
(Lucky) (line)
Lucky= nilipewa na doctor, mama anasema wakati wa kuzaliwa nilitanguliza miguu, it was complicated kujifungua na hakukuwepo mambo ya operation. Maness wa kawaida wote walitoka ikalazimika kuja ma dr kama 5 hivi, (hiyo sehemu huduma za afya zipogo kitambo sio kama huku) hii ishu ya kutanguliza miguu mikono inabaki nyuma mara uje mmoja mwingine ubaki ilikuwa nadra sana. Dr moja alitoka kwenda kufata kifaa wakati wengine wanaendelea anarudi ndo akakuta nishatoka hapo hapo akatoa hilo jina.
 
Back
Top Bottom