Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

(Lucky) (line)
Lucky= nilipewa na doctor, mama anasema wakati wa kuzaliwa nilitanguliza miguu, it was complicated kujifungua na hakukuwepo mambo ya operation. Maness wa kawaida wote walitoka ikalazimika kuja ma dr kama 5 hivi, (hiyo sehemu huduma za afya zipogo kitambo sio kama huku) hii ishu ya kutanguliza miguu mikono inabaki nyuma mara uje mmoja mwingine ubaki ilikuwa nadra sana. Dr moja alitoka kwenda kufata kifaa wakati wengine wanaendelea anarudi ndo akakuta nishatoka hapo hapo akatoa hilo jina.
Kumbe ndo maana huna akili
 
DIY do it yourself... Yes fanya kila kitu mwenyewe, mie ni mmoja wapo wa watu wanapenda fanya kila kitu, naamini hakuna binadamu hawezi fanya kile kitu ambacho mwenzie anaweza fanya ni determination tu, ukiwa mwanaume fanya kila kitu mwenyewe!
Wazungu wengi hupama rangi nyumba zao wemyewe
 
R- initial ya Jina langu
Mbuna - Jina la ukoo wetu.
Nothing else.
Kuna aina fulani ya njiwa pori kule kwetu anaitwa mbuna, huwa haliwi kwa sababu sio mtulivu, anataja kufanana na dudumizi
 
nilifungua microsoft excel maalum kabisa kwa ajili ya kurekodi idadi ya warembo niliowahi kuwaona kiundani kabisa kabisa...

ntafungua m-word baadae kwa ajili ya kuwaandikia barua ya kuwarudia wote kwa pamoja...!

haba na haba huongeza mahaba..
Dahhh!
 
Mimi jina langu nimelimaanisha..am Gender Sensitive na kweli niko hivyo...na hata nikisajisajili kwa jiana lingine nitakuwa namaanisha. My name suggest who iam ..hata kama ningepata fursa ya kujichagulia jina kwenye jina langu halisi basi ningechagua jina lenye maana...pamoja na hayo I like my real name so much ingawaje halina maana yeyote ya msingi.
Endelea kupumzika kwa amani mpendwa.
 
Back
Top Bottom