Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Kumbe ndie wewe dinazardee, long time sana!Hahhhhahhhhahhha mi ndio languu hivi hiviiii Dinazardeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndie wewe dinazardee, long time sana!Hahhhhahhhhahhha mi ndio languu hivi hiviiii Dinazardeee
Hii ilikua chai ya zamani!MZIMU, Mama Mzaa Bibi yangu Mzaa Mama Yangu Mzazi (anaitwaga Mama Mkubwa), alikua anamiliki mizimu zaidi ya 90. Baadhi ya Mizimu hiyo inanitembelea kujadili mambo mbali mbali ya Maisha haya. Hapo zamani clan yangu ilikua inaishi katika kisiwa flani katika bahari ya Hindi. Sio Zanzibar, Pemba wala Mafia.
Daaah, atoto! enzi hizo jf ikiwa jf kweli!atoto coz i have a baby face(people say)
Okole bhuyaKama kweli umehisi tu, hongera, ila kama uliona sehemu humu, jifinye masikio yako [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Umeenda fukunyua mwanzo kabisaKumbe ndie wewe dinazardee, long time sana!
Najua basi, wa mjini tu🙈🙈🙈 niandikie kiswahili 😃😃😃Okole bhuya
🤣🤣🤣🤣Daaah, atoto! enzi hizo jf ikiwa jf kweli!
😅😅😅Legend 🤣🤣🤣🤣
Umejuaje?Jambo la kusikitisha wengi katika wachangiaji wa mwaka 2009-2011 hatunao tena duniani.
Hahaha unajitafutia pressure ya bure,bora ubakie white hacker na upambanie kuwa certified ethical hacker (CEH).
naishi uku nasijawafika bongoUnaishi huko au upo hapahapa Bongo bahati mbaya(BBM)?
Ukienda Iringa na Njombe hayo ni majina yenye heshima Sana.Kuna aina fulani ya njiwa pori kule kwetu anaitwa mbuna, huwa haliwi kwa sababu sio mtulivu, anataja kufanana na dudumizi
ndio mkuu😄Kama nimekuelewa unampenda yule Dada msemaji wa Simba?Anaitwa Barbara Gonzales?
imani ni jambo la muhimu acheni wale walokole wapoteze kila kitu kwa ajili ya wanayoamini na wale Islam wenye imani kali acha wafanye wanayoamini🤣🤣🤣 dah mkuu nimeona tu jina nimecheka mno na kufungua ndani ndo hadi machozi yametoka. shukrani sana kwa kushare.
Aisee sawandio mkuu[emoji1]
Hana baya maana wengi wanafanya maovu wanamsingizia yeye labda tuanze na ww ubaya wa shetani upi embu niambie na mm nijueKwahio umechagua upande wake?bado unamtegemea?
kwannDaah sio poa aseeh