Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

MZIMU, Mama Mzaa Bibi yangu Mzaa Mama Yangu Mzazi (anaitwaga Mama Mkubwa), alikua anamiliki mizimu zaidi ya 90. Baadhi ya Mizimu hiyo inanitembelea kujadili mambo mbali mbali ya Maisha haya. Hapo zamani clan yangu ilikua inaishi katika kisiwa flani katika bahari ya Hindi. Sio Zanzibar, Pemba wala Mafia.
Hii ilikua chai ya zamani!
 
Kuna aina fulani ya njiwa pori kule kwetu anaitwa mbuna, huwa haliwi kwa sababu sio mtulivu, anataja kufanana na dudumizi
Ukienda Iringa na Njombe hayo ni majina yenye heshima Sana.
Shida ya lugha ndio hii kuna sehemu neno zuri Ila kwenye kabila nyingine ni tusi.
 
🤣🤣🤣 dah mkuu nimeona tu jina nimecheka mno na kufungua ndani ndo hadi machozi yametoka. shukrani sana kwa kushare.
imani ni jambo la muhimu acheni wale walokole wapoteze kila kitu kwa ajili ya wanayoamini na wale Islam wenye imani kali acha wafanye wanayoamini
Maana kama muujiza hujawahi kukutokea huwezi kuamini mm Shetani kaniokoa sana maana bila yake sijui kama ule mtihani ningefanya maana mungu nilimuomba katika mambo ya kheri kanitosa nikaogopa kumshirikisha katika kubet kwakuwa watu wa dini wanasema dhambi nikamuomba shetani akanisaidia aisee ashukuriwe kokote iblis hata matajiri wengi wanamtumia wasanii wantumia wachungaji wanatoa watu mapepo kwa msaada wake masheikh wanamtumia kama ww huwezi kumtumia shetani bora unyamaze maana usilolijua ni sawa na usiku wa giza
 
Back
Top Bottom