Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Thread about what?....economy,health or business?.....or me (The Binti Maringo)::::::::

about u binti maringo....
it will be official that no one should
disturb u,or else they will answer to me.
 
about u binti maringo....
it will be official that no one should
disturb u,or else they will answer to me.


Ooh you are so sweet!....i am so looking forward to that thread and curious as well!.....u r the pefrct msukuma that been refering too!...yuhuuuuuu!.....
 
Ooh you are so sweet!....i am so looking forward to that thread and curious as well!.....u r the pefrct msukuma that been refering too!...yuhuuuuuu!.....


hiyo yuhuuuu..
ulivyoisema...
am thinking dirty....ha ha ha.
 
Hiyo nyimbo lazima umetunga! maana sijawahi kusikia hata siku moja....nani mtunzi na muimbaji?

Shem ina maana hujawahi kuusikia wimbo huu wa Msondo Ngoma??

Penzi langu limekosa umaarufu kwa sababu sina hela ooh Binti Maringo
Sifa za uzuri wako zilinifanya niingie kichwakichwa bila kuuliza
Sasa umekuwa dalali unaunadi utu wangu ooh Binti Maringo(rudia tena)
Hapa nilipofika panatosha nisijefuga ugonjwa nikakosa dawa(rudia tena)
Najua nina kiu na wewe nitakunywa maji nitulie(rudia tena)

Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika

Dada Kawasaki alinikanya hapa mjini nenda polepole,utavamia walanguzi wa mapenzi waikaange roho yako inyauke kama mti

Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika

Dada Kawasaki alinikanya hapa mjini nenda polepole,utavamia walanguzi wa mapenzi waikaange roho yako inyauke kama mti

Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika
 
Shem ina maana hujawahi kuusikia wimbo huu wa Msondo Ngoma??

Penzi langu limekosa umaarufu kwa sababu sina hela ooh Binti Maringo
Sifa za uzuri wako zilinifanya niingie kichwakichwa bila kuuliza
Sasa umekuwa dalali unaunadi utu wangu ooh Binti Maringo(rudia tena)
Hapa nilipofika panatosha nisijefuga ugonjwa nikakosa dawa(rudia tena)
Najua nina kiu na wewe nitakunywa maji nitulie(rudia tena)

Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika

Dada Kawasaki alinikanya hapa mjini nenda polepole,utavamia walanguzi wa mapenzi waikaange roho yako inyauke kama mti

Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika

Dada Kawasaki alinikanya hapa mjini nenda polepole,utavamia walanguzi wa mapenzi waikaange roho yako inyauke kama mti

Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,Maringo Binti Maringo nitakukumbuka daima,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika,kwenye kitabu cha kumbukumbu mateso yako nitaandika


lyrics zake nzuri itabidi ni you tube huu wimbo sijawahi kuusikia kabisa....umesema msondo ngoma?.....ngoja nisikilize narudi back in few...
 
Binti Maringo!.....Ni kutokana na marafiki zangu kuniambia kuwa nina maringo sana so i came up with this name Binti Maringo kutokana na maringo yangu!.....Lakini i am people persona nd good sense of humour...don't try!

Binti Maringo hebu tufafanulie basi hayo maringo yako ni kwenye miondoko unatembea kama hutaki vile ha ha ha ha ha 🙂 au kula au kipi hasa kilichosababisha mpaka marafiki zako wakupe jina hilo la Binti Maringo? Natanguliza shukrani 😉
 
Binti Maringo hebu tufafanulie basi hayo maringo yako ni kwenye miondoko unatembea kama hutaki vile ha ha ha ha ha 🙂 au kula au kipi hasa kilichosababisha mpaka marafiki zako wakupe jina hilo la Binti Maringo. Natanguliza shukrani 😉

Akitembea anakuwa ana twist kama vile yuko kwenye catwalk/ runway. Kama umeshawahi kumwona jinsi Naomi Campbell anavyotembea basi na binti Maringo naye hutembea hivyo hivyo..
 
Majina ya wanangu yanaanza na herufi H, ninawapenda sana wanangu, so 'mamah' ndipo iliponijia.

MamaH 🙂 hata mimi nina ndugu zangu wa kuzaliwa nao baba mmoja na mama mmoja watano majina yao yanaanzia na herufi H, sidhani kama wazazi walikuwa wanaizimia sana herufi na hivyo kuwaamua kuwapa majina yanayoanzia na herufi hiyo, bali ni coincidence tu 🙂
 
Akitembea anakuwa ana twist kama vile yuko kwenye catwalk/ runway. Kama umeshawahi kumwona jinsi Naomi Campbell anavyotembea basi na binti Maringo naye hutembea hivyo hivyo..

Acha hizo OPP!....LOL! Mwache mwenyewe atujulishe ni kipi hasa kilichowafanya marafiki zake wamuite Binti Maringo. Si ajabu alikuwa ana maringo hata kwa njemba zilizokuwa zinajigonga kwake kila zikimfukuzia anazitolea nje...LOL! I am just speculating ha ha ha ha
 
Mama Joe is my real name. Ninapenda kuitwa mama na kwavile nashinda ofisini wananiita first name, hivo hapa niliona ndo chance! Na Joe ndo first born wangu na ninampenda sana. Pia nichangamoto kuwa nitachoandika kitakuwa ni kutoka kwa mama kweli.


Mama Joe, inaelekea Joe ni mtoto wa mama na inaelekea anapendwa sana kuliko waliomfuatia... 🙂
 
Binti Maringo hebu tufafanulie basi hayo maringo yako ni kwenye miondoko unatembea kama hutaki vile ha ha ha ha ha 🙂 au kula au kipi hasa kilichosababisha mpaka marafiki zako wakupe jina hilo la Binti Maringo? Natanguliza shukrani 😉

hA-HA-HA BAK!...Kisa cha kuitwa binti maringo...yaani hata OPP hajakosea kabisa ni kwa sababu ya miondoko yangu na jinsi ninavyongea plus mapozi!....hahaha kwenye kula kama nipo na men ndiyo naweka mapozi ila kama nipo alone napakia bila mapozi aisee!....
 
Back
Top Bottom