Mkuu
Kuchukua mfano wa memory ya simu kufananisha na IQ ya mwanadamu ni kosa.Ni vitu viwili totally oxymoronic!
Binadamu wote wana IQ sawa?Hii assertion umeitoa wapi?Binadamu wote hawafanani,na hawana IQ identical,ndio maana kuna IQ scale.
Kumbe Mungu anaongelewa kisayansi?Nikiwa mwanasheria naweza muongelea Mungu kiuanasheria na nikawa sawa na wewe mwanasayansi?Unaona raha sana kudanganya watu eee?
Hoja yangu inasimama palepale,inakuaje huyu Mungu mpaka umuelewe uwe na IQ kubwa namna hii,na uwe msomi unaejua kusoma na kuandika na mwenye kujua dunia kisayansi na elimu zingine chungu nzima!Ndio nikatoa rai,inakuaje sisi wanadamu 95% ya population ya dunia tuliumbwa na yeye yeye kama wajinga wenye IQ ndogo au wastani isiyoweza kujua elimu zote hizi za ulimwengu,ni lazima twende motoni..Nyie wasomi 5% tu ndio mtamjua yeye vizuri maana mna akili na ndio mtaenda mbinguni.
Ndio maana nikasema huyu Mungu wenu ni baguzi namba moja,mkae nae nyie vichwa!