Wengi sana walioponaKwa hio Taiga tuache kufuata maagizo ya wataalam ambao tumewasomesja kama nchi tukajifukize?? Poor you dear!
Kwetu ni Usangi ila hio sio mada kwa sasa, mada yetu iko wazi, toeni takwimu hadharani tuone wangapi wamepona kwa kujifukiza??
Hivi kitendo cha kuficha takwimu za vifo na maambukizi mapya kinamnufaisha nani hasa?Ofcourse sisi tunakwamisha juhudi za dunia nzima katika kupambana na hili janga kwa sababu ya kiburi tu na ulevi wa madaraka!.
Kabla hata ya kushitakiwa tutakuwa blacklisted na Mataifa kwa kuhatarisha usalama wao.
Tulichokifanya TZ cha kuruhusu watalii kuingia nchini wakati dunia imechafuka na kisha kukataa kuchukua jitihada za kuzuia huu ugonjwa usisambae nchi nzima ni kitendo cha watu wanaoangalia pafupi sana.
Lakini let me tell you one thing, Corona hii haitoishia kwetu sisi tu akina baba Kabwela, Itapiga familia zao na wao wenyewe hapo ndo watajua how shortsighted they were!
Ooh, samahani sana kwa hilo. Wewe ni nani, Bibi, mama au Shanghazi? Unajuwa JF huwa tunakisia tu namna ya mtu anavyoandika. Samahani.
Wengi wangapi? Ndio mwisho wa akili zako huo? Bibie mie huwezi kunitoa kwenye hoja,never. Toeni takwimu kama mnajiamini, mnaficha za nini?? Kitu gani kimewafanya msitoe takwimu?? Simply cause hili hamliwezi tena liko beyond your control. Lete takwimu na hao vigagula wenzioWengi sana waliopona
Hivi Usangi hawajui tiba ya kujifusha wala nyungu?
Kwanini kitichwe? Mbona habari zibatolewa mara Kwa mara? Au unataka hata Vifo visivyo vya corona utangaziwe?Hivi kitendo cha cha kuficha takwimu za vifo na maambukizi mapya kinamnufaisha nani hasa?
Ukiona watu wana hoji ujue sio jambo la kawaida . Au sio utaratibu ambao umezoeleka au nitofauti na kipindi cha nyumaBasi kuna sababu muhimu sana yankuzikimbiq.
Bahati nzuri tuna Ikulu nyingi sana Tanzania ambako Rais anaweza kufanya kazi zake kiufanisi zaidi ya Dar na Dodoma kwa wakati huu.
Dar Sana anakuwepo kidiplomasi Kwa sasa. Dodoma anakuwepo kisiasa.
Sasa hivi hakuna mpango mikutano na watu diplomasia wala kisiasa.
Mwacheni Rais achape kazi zake anavyoona yeye siyo nyinyi.
Nyie nani mumpangie kazi zake?
Hahahaha sikua nimeona hii, OK sina takwimu za tangu alipozungumza Mwenyekiti wakoTakwimu zipi tena unazotaka ambazo hauna?
Hebu jifunze kuandika kwa utulivu basiKwanini kitichwe? Mbona habari zibatolewa mara Kwa mara? Au unataka hata Vifo visivyo vya corona utangaziwe?
Samia yuko wapi? Polepole yuko wapi? Mangula yuko wapi? Palamagamba yuko wapi? Ikulu iko wapi? Bushiru yuko wap? Chama cha mafisadi kiko wapi? Tupeni idadi ya wanaopuputika kulingana na ripoti ya Bashite!Takwimu zipi tena unazotaka ambazo hauna?
Sky pana link moja nilitumiwa huwa naicheck kila baada ya masaa matatu mpaka manne ni world wiide ila cha ajabu toka juzi imesimamia hapo wagonjwa 299 vifo kumi sasa sielewiSisi ni wabahili wa ukweli tunajulikana
Sasa wewe unataka data za kila anaejifusha uletewe hata kama kapona bila kufika hospitali? Zimo kweli?Wengi wangapi? Ndio mwisho wa akili zako huo? Bibie mie huwezi kunitoa kwenye hoja,never. Toeni takwimu kama mnajiamini, mnaficha za nini?? Kitu gani kimewafanya msitoe takwimu?? Simply cause hili hamliwezi tena liko beyond your control. Lete takwimu na hao vigagula wenzio
Samia yuko wapi? Polepole yuko wapi? Mangula yuko wapi? Palamagamba yuko wapi? Ikulu iko wapi? Chama cha mafisadi kiko wapi? Tupeni idadi ya wanaopuputika kulingana na ripoti ya Bashite!
Kwahio baada ya kujifukiza huko ndio mashetani yako yakakwambia kuwa takwimu ninazo sio! Hilo pepo la kijani limeongopa, kajifukize tena liambie hii nimeikataa.Takwimu zipi tena unazotaka ambazo hauna?
Wanahoji nini? Sijakuelewa.Ukiona watu wana hoji ujue sio jambo la kawaida . Au sio utaratibu ambao umezoeleka au nitofauti na kipindi cha nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi Usangi mnajifukiza tu hamjuwi kujifusha?Kwahio baada ya kujifukiza huko ndio mashetani yako yakakwambia kuwa takwimu ninazo sio! Hilo pepo la kijani limeongopa, kajifukize tena liambie hii nimeikataa.
Hahahahhhahahah umenifurahisha sana! Naona unajichanganya sasa! Haya ndio nazitaka hizo hizo na kama hazipo basi tufunge mahospitali tuhamie kwenye kujifukuza sio kujifukiza !!! Hata hueleweki, tunataka takwimu please Bibi! Achana na Mbowe kwanza ndio maana hata mimi nimekaa kimya sikuzungumzia ule utapeli wako kwenye vitendo saccossSasa wewe unataka data za kila anaejifusha uletewe hata kama kapona bila kufika hospitali? Zimo kweli?
Vipi Mbowe walikuwa wangapi kwenye nyumba zake?
Hahahaha hujamuelewa au hujapenda alichokiandika??Wanahoji nini? Sijakuelewa.
Kuhoji mbona kawaida ya binaadam.
Kulalamika kila unachofanyiwa si kawaida ya binaadam, hiyo ni kawaida ya mifugo.
Hahahaha Dada tuendelee na takwimu kwanza, Usangi tuna akili ati, twajitambua sana! Ila kwa sasa tuendelee na issue iliyoko mezani hapa, tunataka takwimu pleaseVipi Usangi mnajifukiza tu hamjuwi kujifusha?
Sijakuelewa maana anasema "wanahoji" lakini hasemi wanachohoji.Hahahaha hujamuelewa au hujapenda alichokiandika??
Takwimu mbona zipo automatic saa zote? 24/7 au hujuwi pakuzipata dada? Unataka za Kitaifa au za Kimataifa nikusaidie.Hahahaha Dada tuendelee na takwimu kwanza, Usangi tuna akili ati, twajitambua sana! Ila kwa sasa tuendelee na issue iliyoko mezani hapa, tunataka takwimu please