Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Yesu tutakunywa nae huyu hapa

Mathayo 26:29

Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiyo Biblia si huwa mnasema imechakachuliwa na hamuiamini? Sasa mbona leo mnaitumia tena kujibu hoja?

Kweli mada imewachanganya..
 
MAFUNDISHO YA YESU
34 Enyi wazao wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.
35 Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.
36 Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.
37 Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
 
Hiyo Biblia si huwa mnasema imechakachuliwa na hamuiamini? Sasa mbona leo mnaitumia tena kujibu hoja?

Kweli mada imewachanganya..
Mada imetuchanganya ime wachanganya kwani nani kakataa humu kupata mazuri ya peponi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ngoja tukanywe na Yesu sie
Kazi kwenu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo dini ni ya kumlinda mwanaume ni mfumo dume angalia tu kule uislam ulikoanzia wanawake wanavyotendewa, hawaruhusiwa kusoma, kuwa viongozi, kumiliki mali, hata kuendesha gari.

Uislam unamkandamiza mwanamke mpaka mwisho ingawa wanawake nao ni tatizo kubwa wakiachiwa wafanye wanavyotaka mfano angalia nchi za wazungu
Kuna tofauti kubwa kati ya taratibu zinazowekwa na uislam na mila za kiarabu/kiafghani etc. Uislam umeweka emphasis kubwa sana kwenye elimu kwa wanawake na betterment ya social welfare yao in general. It's only in Islam kwanza kuwa mwanamke akiolewa, every need of hers becomes the responsibility ya mume.

Hata akiwa anafanya kazi, hela yake ni yake na ya mume ni ya wote. That's only in Islam. Akizaa mtoto, pepo ya mtoto iko chini ya nyayo yake kama mama. Kielimu, hakuna limitations kwenye uislam kwa mwanamke kupata elimu. Ndio maana the very first university duniani (University of Al Quaraouiyine) ilifunguliwa na mwanamke wa kiislam, Fatima al-Fihri.

Restrictions nyingi unazoziona kwenye baadhi ya nchi za kiarabu ni kutokana na mila zao, na sio uislam. As a matter of fact, nchini Marekani, a western country, mwanamke hakuwa na haki unazoziona leo kwa miaka mingi mingi mno. Hata sasa tu, mwanamke hana right to decide juu ya mwili wake leo hii (remember Roe vs Wade ilikuwa repealed mwaka jana - too much for social justice and equality in the western world, huh?).

Zaidi, mfano, kwenye kupiga kura, mwanamke wa US hakuwa na haki kikatiba nationally hadi 1920. Juzi tu hapo. Whereas kwenye uongozi chini ya Mtume Muhammad S.A.W, mwanamke alikuwa na haki ya kutoa maoni yake kwenye maamuzi na akasikilizwa, na Mtume S.A.W na makhalifa wake wakorecorded kwenye history wakiwaconsult wanawake kwenye matters zinazohitaji input zao (Umm Salamah R.A kwa Mtume S A W, na Safiyyah R.A kwa Syedna Umar R.A). That, there, is Islam.

Unachokisema, kama bado kipo, ni bans zinazotokana na culture za nchi husika. Na nyingi zimekuwa/zinakuwa repealed. Just as an update, Saudi Arabia mwanamke anaweza kuendesha gari tangu 2018.

Na hakuna nchi yoyote nyingine ya kiislam ambayo haruhusiwi kudrive. Isingeruhusiwa kama ingekuwa sheria inayotokana na uislam and not mila zao. Ila kwanini now "wanaruhusiwa"? Well, sababu ni kuwa ban husika ilitokana na mila zao, na si uislam!
 
MBONA MUNAOGOPA SASA.
\TWENDENI PEPONI TUKAFAIDI, MAMBO YA KWENDA KUIMBA PEPONI NA KUFANYA IBADA KAMA MALAIKA NI SHUGHULI NZITO.
 
Hicho kitabu kiliandikwa na wahuni halafu Muhammad anadanganya eti aliteremshiwa. Ndiyo kimezaa dini ya kihuni.

Imagine mtu anaambiwa akijiua kutetea Imani yake eti kuna mabikra 72 wanamsubiri peponi. !! Yaani huko peponi hakuna cha maana zaidi ya ngono?? Uhuni mtupu
"Kitabu kilichoandikwa na wahuni" hakiwezi kuwa as perfect na without contradicting statements kwa namna Quran ilivyo. Hicho hakiwezi kuwa refuted hata iweje. Na hata baadhi ya vitu kwenye Quran vimekuja kuonekana kuwa viko exactly kama vilivyoandikwa just in recent years. Hao "wahuni" wangejuaje back then? Tena juu ya knowledge tunayoifahamu sasa hivi, whicj was nonexistent wakati ule?

Compared to kitabu cha upande wa pili kama kilivyo sasa (Injili ni kitabu kitakatifu kwa waislam as well, na katika nguzo za imani, ni kuamini vitabu vya Allah S.W, yani, mf., Taurati, Injili na Quran - Injili kama ilivyoshushwa kwenye purest form yake), Quran iko in a league of it's own. Angalia mistari inayofutwa kwenye different versions za kile kitabu kingine, mathalan, halafu angalia kama kuna mstari umewahi kufutwa futwa kwenye Quran.
 
Naziona hatari kama tatu hivi kwenye hii ahadi.

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

1. Hao Houris wawili ndio wanawake wa aina gani, haijulikani.

2. Mnaambiwa wanawake 70 ni viumbe vya Motoni "seventy of his inheritance of the female dwellers of hell" inamaana mtaozeshwa Mashetani.

3. Uume utasimama muda wote. Inamaana ni kulalana na kunywa pombe tu huko

4. "he will have an ever-erect penis.”
uume hauta poa, utasimama masaa
yote. Inamaana ni kunywa pombe na kulalana tu na Mashetani.

Hiyo Mbingu gani kama sio Kuzimu ?
Mmeingizwa chaka zito sana.

Poleni sana.
usirukie mambo usiyoyajua ndugu.
Hiyo No. 2 maana yake Hao ni wake za wanaume walioingia Motoni huku wake zao wakiwa watu wema peponi, itabidi warithiwe na wanaume wema walioko peponi.

No3- Kimsingi hasa ni kuwa Metaforic,kusimama muda wote ni kila utakapo hitaji kufanya ngono mashina itasimama .Hakuna kuchoka. Utakula papuchi kila upendapo ,

Mashetani wote watakuwa Motoni siku hizo. peponi ni eneo la watu wema tuu ,hakuna usumbufu wala malumbano. raha juu ya Furaha.
Karibu Usilimu twende pamoja mkuu.
 
mmeshaaminishwa mbinguni ni dangulo mkuu, kwaiyo na iyo mito ya pombe ni vp kulewa tu. utakuta baba wa familia yake amekaa kwenye dimbwi la mawazo kumbe anaziwaza mbususu izo 72.
Tuta lewa na Yesu kiongozi wewe hutaki?[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
kwaiyo mahanithi uko shaft zao zitaponeshwa na kupewa power kubwa ya kuwahandle wote per day mkuu.

hao wanawake watakuwa wanapata mimba au tunatoa upepo tu badala ya shahawa
Eh umehama aya huko peponi ni sehemu ya kula raha tu hapati mtu mimba

Mahanith huko watapona kama kawaida kiongozi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi niliulza swali
Duniani tunahangaika kutafuta Fedha ili tufanyie nini?
  1. Matumizi ya chakula, nguo,na mapambo mengine
  2. Nyumba nzuri
  3. Usafiri
  4. Mwanamke mzuri kwa ajili ya Ngono na kuzaa watoto.
  5. Starehe nyingine kama kusafiri, namichezo mbali mbali.
  6. Matibabu wakati wa kuumwa.
Hii nidio mahitaji ya Duniani.

sasa Peponi Unadhani utahitaji nini ikiwa
  1. Hakuna Kufa,wala kuumwa wala kuzeeka.?
  2. Hufanyi kazi,unalotaka unapata. ?
  3. Hakuna tena familia walamajukumu ya familia.
  4. Hakuna Kuzaa hofu ya usalama.
  5. ni Amnii tuuu na Usalama
Unadhani ungelihijiKitu gani kama malipo ya wema wako uliouishi hapa duniani?
 
Eh umehama aya huko peponi ni sehemu ya kula raha tu hapati mtu mimba

Mahanith huko watapona kama kawaida kiongozi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dah kwakweli ashukuliwe mwenyezi Mungu kwa kutuandalia zawadu hii nono, mimi nitachagua wenye matrakko makubwa 40, wazungu 10, wembamba sana 10, weusi tii 10, sigala kali wa2, apo nitakuwa nimekamilisha idadi ya 72, Asante Mungu kwa baraka hii, nakuahidi Allah sitokuangusha nitakuwa nawapelekea moto wote kila siku.

AMEN.!
 
Dah kwakweli ashukuliwe mwenyezi Mungu kwa kutuandalia zawadu hii nono, mimi nitachagua wenye matrakko makubwa 40, wazungu 10, wembamba sana 10, weusi tii 10, sigala kali wa2, apo nitakuwa nimekamilisha idadi ya 72, Asante Mungu kwa baraka hii, nakuahidi Allah sitokuangusha nitakuwa nawapelekea moto wote kila siku.

AMEN.!
Umesilimu kwanza au teyar muislamu
Usijipe matumaini kama sio muislamu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom