Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Muulize Sheikh Alhad
 
Nani amekwambia tutapata zawadi moja tu halafu kwa nini uwe na wivu wenzio waki ngonoka

Wapi nimetaja Dini yako au tayari ushaanza kuvurugwa?



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kusema yesu wenu maana yake umeshaijua imani yangu wakati hakuna sehemu nimekwambia imani yangu,pia najua kwamba ngono sio zawadi pekee bali kuna mito ya pombe ,kwakweli yule jamaa aliwaingiza chaka, uhuni tu ndio zawadi zenu mahali patakatifi.ndio maana na yeye alioa wake zaidi ya kumi wakiwemo watoto wa miaka 9
 
Hii sio kwa kujilipua ni kufanya mambo mazuri, utapata hao wanawake na raha nyingine, sasa kuna faida gani ya kutii amri za Mungu duniani halafu huko peponi hakuna raha?
Raha si kumuabudu Mungu..au wewe hujisikii raha kumuabudu Mungu?

Pepo yenu nyie ni kut*mbana na kunywa pombe milele.... Hii dini yenu aiseeee
 
Kusema yesu wenu maana yake umeshaijua imani yangu wakati hakuna sehemu nimekwambia imani yangu,pia najua kwamba ngono sio zawadi pekee bali kuna mito ya pombe ,kwakweli yule jamaa aliwaingiza chaka, uhuni tu ndio zawadi zenu mahali patakatifi.ndio maana na yeye alioa wake zaidi ya kumi wakiwemo watoto wa miaka 9
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pombe nitakunywa na Yesu pia


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
40.Wataingia motoni wakaidi, Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa(WALIOAMINI na kunyenyekea wao wataingia peponi) . 40



41. Hao ndio watakao pata riziki maalumu(Humo peponi), 41 yakiwemo



42. Matunda, nao watahishimiwa. 42



43. Katika Bustani za neema. 43( wakiwa wamestarehe)



44. Wako juu ya viti wamekabiliana. (uso kwa uso) 44 huku



45. Wanazungushiwa kikombe chenye kinywaji cha chemchem.(Kafuri na Pombe ya peponi) 45



46. Kinywaji cheupe, kitamu kwa wanywao. 46



47. Hakina madhara, wala hakiwaleweshi. 47



48. Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.(macho ya nyege) 48



49. Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.(lainii ngozi zao) 49



50. Waingie kuulizana wenyewe kwa wenyewe. 50



51. Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki.(Kule duniani) 51



52. Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki.(Kuamini habari hii ya Pepo na Mahurul ain) 52



53. Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa? 53



54. Atasema: Je! Nyie mnawaona? (Yaani wale marafiki waovu) 54



55. Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu. 55



56. Atasema🙁amwambie aliyekuwa rafiki yake) Wallahi! Ulikaribia kunipoteza. 56


Nadhani hii ni tahadhari kwa waislamu wenzangu, Hawa marafiki zetu wapinzani humu wanataka kutupoteza njia,lakini matokeo yao yatakuwa kama hapo juu
 
Hahaaaa roho hazinywi pombe ,hii miili ni takataka ikifa inaoza ndo basi,huko ni roho tu ,hakuna kut.mb..na wala pombe
Hujui kitu wewe. Nitaenda kunywa na Yesu divai saaafi kabisa

Mathayo 26:29


Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Dini moja inafundisha kuwa kule Mbinguni ni kwenda KUMUABUDU MUNGU MILELE na MILELE

Dini nyingine inafundisha kuwa kule Mbinguni ni kwenda Kut*mbana na wanawake 72 na kunywa Pombe.

Kwa akili ya kawaida kabisa...Dini ipi kati ya hizo mbili inaonekana imetoka kwa Mungu?
Yaani kwa akli yako kabisaaaaaa.... Ni ipi kati ya hizo dini mbili unaona ina mkono wa Mungu?
 
Peponi kutakuwa kuna harufu ya Papuchi kinoma.... Maana waja watakuwa wanazisugua kwa hasira na ukame
 
Dini moja inafundisha kuwa kule Mbinguni ni kwenda KUMUABUDU MUNGU MILELE na MILELE

Dini nyingine inafundisha kuwa kule Mbinguni ni kwenda Kut*mbana na wanawake 72 na kunywa Pombe.

Kwa akili ya kawaida kabisa...Dini ipi kati ya hizo mbili inaonekana imetoka kwa Mungu?
Yaani kwa akli yako kabisaaaaaa.... Ni ipi kati ya hizo dini mbili unaona ina mkono wa Mungu?
Dini inayo toa zawadi baada ya watu walio jitahidi duniani kumuabudu



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ila mudi alikuwa anapenda sana hii michezo.

Nikikumbuka aliponyandua katoto ka miaka 9, halafu sasa akaja na story za bikra 72 peponi... hapa unaona kabisa mwandishi wa quran alikuwa anapenda sana hii michezo.

Jamaa kiukweli alikuwa anapenda Papuchi
 
Na ndio mana hapa duniani mtu anaeishi maisha mazuri utasikia watu wanasema jamaa anaishi kama peponi,why wasiseme kwa mtu anaeimba imba anaishi kama peponi?

Peponi ni bata batani halina mfano shekhe ushahenya na ibada duniani unaenda kula pension yako,yani uhenye duniani kwa maibada kibao peponi ukapayuke kuimba tena ahaaaaa


Achana na hiyo kitu firdaus ni VVIP tujipinde shekhe
Peponi ni kusugua kumer tu...au sio mkuu, mpaka zitoe moshi... Na gambe la kutosha TUTAGIDA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii dini yenu aiseeee
 
Ila mudi alikuwa anapenda sana hii michezo.

Nikikumbuka aliponyandua katoto ka miaka 9, halafu sasa akaja na story za bikra 72 peponi... hapa unaona kabisa mwandishi wa quran alikuwa anapenda sana hii michezo.

Jamaa kiukweli alikuwa anapenda Papuchi
Vyovyote we sema tu acha tule raha sie

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hawa ndugu zetu hawakawii kusema Kule pepon hata wale wanao penda [emoji108] Watapata vile visafi havina matope wala kinyaa.

Pepon rahaa banaa ishalah tufike na sisi.
 
Back
Top Bottom