Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Ni dhaifu au sio dhaifu ?

Wewe unaenda na upepo tu.
Unataka kuongopa halafu unajistukia mwenyewe.

Unanifafanuliaje hadithi dhaifu ?

Ndio Taqqiya yenyewe hiyo ?
Hujaona ilivyo andikwa au umelala

Au picha kwako haifunguki nime I screen shot kukusaida
Maana unahaha kweli kweli
Screenshot_20230219-003002.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Najisumbuaje kuangalia kitu dhaifu ?
Linapofika swala la Dini huwaga mnajitoa fahamu zote.
Hamkumbuki hata mnalo ongea kabla.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo wao wamesema tofauti na nilivyo sema
Na kama ujisimbui kuangalia kitu dhaifu kwanini ulikileta hapa
Au una mkitabu wako hapo wa ajabu ajabu

Ukiitwa chizi oh
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo wao wamesema tofauti na nilivyo sema

Au una mkitabu wako hapo wa ajabu ajabu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unasisitizaje kitu dhaifu ?
Baada ya mimi kuongea ukasema ni dhaifu.
Na Kuanza kutukana na vitisho tele na kejeri.

Mwisho ukakubali sio dhaifu na kutafuta ufafanuzi wake.

Mtu kama wewe utaaminikaje katika hoja za msingi ?

Yani uko tayari kuchinja mtu kisa kauliza swali.

Kama ufafanuzi ulikuwa nao hayo yote uliyatoa wapi.

Ni kwamba hueleweki
Zaidi ya kuwa Mjihadi wa kuipigania Dini kwa uwongo vitisho na kejeri.
 
Unasisitizaje kitu dhaifu ?
Baada ya mimi kuongea ukasema ni dhaifu.
Na Kuanza kutukana na vitisho tele na kejeri.

Mwisho ukakubali sio dhaifu na kutafuta ufafanuzi wake.

Mtu kama wewe utaaminikaje katika hoja za msingi ?

Yani uko tayari kuchinja mtu kisa kauliza swali.

Kama ufafanuzi ulikuwa nao hayo yote uliyatoa wapi.

Ni kwamba hueleweki
Zaidi ya kuwa Mjihadi wa kuipigania Dini kwa uwongo vitisho na kejeri.
Kifupi imepenya
Sasa Usiende mbali maneno mengi kama mwalimu wa insha
Onesha nilipo kubali kua sio dhaifu taja post namba niangalie mie

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Usiende mbali maneno mengi kama mwalimu wa insha
Onesha nilipo kubali kua sio dhaifu taja post namba niangalie mie

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama ni dhaifu ufafanuzi ni wa nini tena?
Simamia msimamo wako huo huo

Unateteaje kitu kisicho faa ?
Na matusi juu.

Tena nimevumilia sana kuongea na mtu anayeporomosha matusi mdomoni mwake kama mvua siku nzima.
 
Kama sio dhaifu ufafanuzi ni wa nini tena?
Simamia msimamo wako huo huo

Unateteaje kitu kisicho faa ?
Na matusi juu.

Tena nimevumilia tu kuongea na mtu anayeporomosha matusi mdomoni mwake kama mvua siku nzima.
Hahahaha sio kuvumilia tu ulale ukiwa na mawazo kesho uje na kitu unacho kielewa kabisa

Ufafanuzi sijatoa mie hadithi yenyewe. Na kwa nini unipangie

Alafu bado nasubiri post namba nilio sema hadithi sio dhaifu , Naona umeruka kutetea hoja yako hiyo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha sio kuvumilia tu ulale ukiwa na mawazo kesho uje na kitu unacho kielewa kabisa

Ufafanuzi sijatoa mie hadithi yenyewe. Na kwa nini unipangie

Alafu bado nasubiri post namba nilio sema hadithi sio dhaifu , Naona umeruka kutetea hoja yako hiyo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unateteaje kitu dhaifu ?
Unatetea ili iwe nini ?

Ili iaminike tena, aiamini nani tena ?

Na matusi juu. Hivi unajisikiaje unapomtukana mtu usiye mjua wakati haja kuchokoza wewe binafsi ?
 
Unateteaje kitu dhaifu ?
Unatetea ili iwe nini ?

Ili iaminike tena ?

Na matusi juu. Hivi unajisikiaje unapomtukana mtu usiye mjua ?
Ona hayo maswali yako yalivyo jibu lake ni moja tu hadithi imejifafanua yenyewe.
Lakini utauliza tena Hayo hayo.
kama kuipiga ipige hadithi. Nimemaliza

Sijakutukana ila nilikuwa nakupa sifa ulizo nazo maana kitu hukijui wewe umetuma tu andiko ikaja post ukaelekezwa vizuri. Ukaanza kuleta ubishi au umesahau wakati bado hujaelewa ulikuwa unakurupuka oh hadithi yenu wenyewe mara hivi hayo maneno ni kwenye post za mwanzo kabisa


Sasa ili usipopolewe unapaswa kua muelewa na sio kujifanya mjuaji hii Dini ya kiislamu inahitaji watu wenye akili kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Huyo Mungu tunaye,wabudu ana vitisho na upendeleo wa kupitiliza. I wish kama kuna mtu alikwenda na kurudi kutupa habari za huko ili tujiandae wa kupika na wa kustarehesha wanaume. Kwa mtindo huu ili apatikane wa kukidhi vigezo inabidi afariki akiwa kichanga maana hata wa miaka mitatu wanabakwa.
 
Ona hayo maswali yako yalivyo jibu lake ni moja tu hadithi imejifafanua yenyewe.
Lakini utauliza tena Hayo hayo.
kama kuipiga ipige hadithi. Nimemaliza

Sijakutukana ila nilikuwa nakupa sifa ulizo nazo maana kitu hukijui wewe umetuma tu andiko ikaja post ukaelekezwa vizuri. Ukaanza kuleta ubishi au umesahau wakati bado hujaelewa ulikuwa unakurupuka oh hadithi yenu wenyewe mara hivi hayo maneno ni kwenye post za mwanzo kabisa


Sasa ili usipopolewe unapaswa kua muelewa na sio kujifanya mjuaji hii Dini ya kiislamu inahitaji watu wenye akili kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Baada ya kuiweka hiyo hadithi ungesema tu ni kweli na kutoa ufafanuzi wake.

Si ingetosha.

Unajua maana ya Chizi ?
Ushawahi kumwona Chizi mahali ?
 
Tuende mbele turudi nyuma... Kwanza ukijitazama utaenda hiyo mbinguni? Maana maisha yanavuruga kweli yani unaweza ukajikuta unajadili kitu hakikuhusu
 
Baada ya kuiweka hiyo hadithi ungesema tu ni kweli na kutoa ufafanuzi wake.

Si ingetosha.

Unajua maana ya Chizi ?
Ushawahi kumwona Chizi mahali ?
Kifupi ni hivi tangu mwanzo uliwekewa maelezo timilifu na kwa bahati nzuri mpaka sasa hakuna sehemu nimeenda kinyume na maelezo yangu.

Na ingekuwa basi ungekubali kuelimika yangeisha mapema lakini kwa kua ulijifanya unajua wakati bado hujui imekughalimu hiyo

Ukijaribu kuangalia post zetu humu maneno yanajirudia rudia yale yale

Kwa sababu tu ulikuwa mbishi kwenye ukweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unajiona kuwa umesomam ndio unatukana imaniu siyo?
Unajua kuwa wale machizi ni viumbe kama wewe na hawakuomba kuwa vile,hujawa tu mwenye kushukuru na kuzingatia.?
Vilema na masikini wengi mitaani na wagonjwa hawakuomba kuwa vile,
Bali mungu alikupendelea wewe kuwa hivyo ulivyo unadhani ni kwa akili yako?
Sijatukana bali nimesema kuna simulizi za kale zilizopitwa na wakati na huwezi kuzitetea katika kizazi hiki
 
Hicho kitabu kiliandikwa na wahuni halafu Muhammad anadanganya eti aliteremshiwa. Ndiyo kimezaa dini ya kihuni.

Imagine mtu anaambiwa akijiua kutetea Imani yake eti kuna mabikra 72 wanamsubiri peponi. !! Yaani huko peponi hakuna cha maana zaidi ya ngono?? Uhuni mtupu
Na kunywa pombe Tena unachota mtoni
 
Sasa hiyo pepo itakuwa na raha gani kama twajizuia huku, alafu huko pia hatuvipati hivyo vitu?

Nani kakuambia jimai siyo jambo linalopendwa na mwanadam mzee?

Yaani tukomae na swala tano, swaumu, tule kwa macho pisi Kali afu peponi pia tukaswali na kufunga?

Kwetu sie waislam peponi(Allah atujaalie tuingie pepo yake) ni kustarehe babu kujinyima duniani...na mwanaume yeyote tukisema starehe alafu amtoe mwanamke kwenye starehe basi huyo binafsi nitamuona kuna shida sehemu.....bora ya starehe ni Mke mwema mtiifu(yaani mwanamke).

Tena hao 72 unakuwa energetic kwa uwezo wa mwenyezi mungu ili kuwatosheleza.

Kuhusu wake zetu, akiwa ni katika watu wa peponi na Mme akiwa ni wa peponi basi mtumi(saw) kama si aya asema ingieni peponi na mnawaopenda(it means wana ndoa watakuwa pamoja if and only if watakuwa ni waliotenda mema).

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo ni ngono na pombe mwanzo mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom