Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Nani anakudanganya mbinguni watu wa naenda kufanya ngono? Iyo ni anticipated mbingu ya waislamu. Mashek bhana wanapenda kujipendelea 😂😂
 
hiyo mbingu ya uzinzi siihitaji. mood mwongo sana.
 
Mkuu hizi story hujawahi hata kuwa na mashaka nazo hata chembe??

No even a cognitive dissonance?
Mbona kama ni hadithi tu za kujifariji.

Nlitegemea uanze kwa neno kuwa "unaamini "
 
Dah wake 72 😲😲😲 sii mchezo aisee sasa sii full burudani huko peponi
 
Kuna hatari hii mbingu dhambi ikaanza upya na ikawa kama duniani.
 
haha umefikiria nini mkuu?.kwanza kabisa wakwanza kuumbwa ni mwanaume, baadaye mwanamke akaumbwa kutokana na ubavu wa mwanaume.hii inaleta picha kwamba kwa vile mwanamke aliumbwa kwa ubavu wa mwanaume!? ule ubavu wa mwanaume ulochomolewa kuumba mwanamke uta ludishwa mahali pake yani kwa mwanaume .hivyo mwanaume atabaki kama alivyo umbwa awali akiwa pekee na mkamilifu,ni mtazamoo tu.
 
Mungu hakuumba viungo vichafu. Kila kimoja kina kazi yake.

Kama viungo vyetu tutaendelea kuwa navyo huko peponi, basi hata huko tutavitumia pia.

Nyie kama hamtaki kuchakata, basi tulieni itabidi mkae pembeni vyombo vyote vikali watajitwalie waislamu waenjoy.

Mimi nikiwa peponi nataka mademu wakali, sasa wewe utaniambiaje eti nikiwa huko nikae hivihivi?
 
Hamia kwa mwamposa huko hakuna ubaguzi,hoja yako inaonyesha qur,an imewabagua
 
Wewe unawazidi elimu wanawake wa kisaudia kimisiri kuweiti omani,tukubali wewe umesoma hiyo elimu yako imekusaidia wewe pamoja na jamii inayo kuzunguka?haya unawazidi mali wanawake wa kiarabu wewe unawazidi maisha,chuki mbaya sana jamani
 
Nyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain. Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao.

Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Pengine!!?
Yaani unajaribu kuongeza aya kwa mafikirio yako ili kuwafariji wanawake?
 
Wewe hapo ulipo bila ngono usinge kuwepo,hata chumo lako lote linaishia kwa dada powa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…