Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Kwenye Qur'an mwanaume anawakilisha humanity pale ambapo mwanamke hajatajwa,mwanamke mwema atapata yaleyale ambayo mwanaume mwema atapata, Kama ilivyo kwa mwanaume muovu na mwanamke muovu
kwaiyo na wanawake nao watapewa wanaume 70?
 
Bahati mbaya umevamia na kuandika usichokijua.
Kuwa huru kuandika lolote siyo sababu ya kuonyesha ujinga na upumbavu mbele wa watu wazima.

NOTE; Ukikaa kimya tunaweza kukuomba ushauri kuliko ...!
Kama wewe ni mtu mzima. Kweli hata wapumbavu huzeeka. Na siku nikiombwa ushauri na mtu kama wewe nitaenda Nitupa baharini ni bora kuliwa na samaki kuliko wewe hata ufikie hatua ya kufikiri kutaka ushauri. Ungenyamaza au hupendi onekana una akili?
 
Mkuu Gambino Crime Family naomba nikujibu kwa maandiko Matakatifu kile tunachoamini sisi Wakristo
MARKO 12:18-27
18. Kisha Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza na kusema,
19. Mwalimu, Musa alituandikia ya kwamba ndugu ya mtu akifa, akamwacha mkewe wala hana mtoto, ndugu yake amtwae yule mkewe akampatie ndugu yake mzao.
20. Basi kulikuwa na ndugu saba, wa kwanza akatwaa mke, akafa, asiache mzao.
21. Wa pili naye akamtwaa akafa, wala yeye hakuacha mzao. Na wa tatu kadhalika;
22. hata na wote saba, wasiache mzao. Mwisho wa wote yule mwanamke akafa naye.
23. Basi, katika kiyama atakuwa mke wa yupi katika hao? Maana wote saba walikuwa naye.
24. Yesu akajibu, akawaambia, Je! Hampotei kwa sababu hii, kwa kuwa hamyajui maandiko wala uweza wa Mungu?
25.
Kwa maana watakapofufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi, bali huwa kama malaika walioko mbinguni.
26. Na kwa habari ya wafu ya kwamba wafufuliwa, hamjasoma katika kitabu cha Musa, Sura ya Kijiti, jinsi Mungu alivyomwambia, akisema, Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo?
27. Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai. Hivyo mwapotea sana.
sidhan kama ni jibu sahihi maana anaitaji majibu kwa mjibu wa kitabu cha iman yao (quran) na sio kwa kitabu cha iman nyingne
 
Watazaliwa upya ,ili bikra zao zilirudi ka mwanzo,Kuna Hakuna bikra za kufoji za kichina,na za limao,no janja janja
Wakizaliwa upya nao wataingia kwenye kundi la hao 70,,kule kule
 
Watazaliwa upya ,ili bikra zao zilirudi ka mwanzo,Kuna Hakuna bikra za kufoji za kichina,na za limao,no janja janja
Wakizaliwa upya nao wataingia kwenye kundi la hao 70,,kule kule
Labda wabadilishwe sura mkuu
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Swali zuri ngoja wenye aya waje
 
Hiyo dini ni ya kumlinda mwanaume ni mfumo dume angalia tu kule uislam ulikoanzia wanawake wanavyotendewa, hawaruhusiwa kusoma, kuwa viongozi, kumiliki mali, hata kuendesha gari. Uislam unamkandamiza mwanamke mpaka mwisho ingawa wanawake nao ni tatizo kubwa wakiachiwa wafanye wanavyotaka mfano angalia nchi za wazungu
Wanaume wasingeenda kwenye jihad yake bila kuwadanganyia pussy kidogo.
Nani akubali kufa na hajui atapata faida gani ndio ikabidi awape utamu WA kufikiria WA mabikra 70[emoji23][emoji23][emoji23] masela wakamuamini kama wambavyo wanawake wanawaamini Akina GWAJIMA na WAUZA MAFUTA
 
kwaiyo na wanawake nao watapewa wanaume 70?
Qur'an haijataja idadi ya wanawake bikira na twahara ambayo wanaume watapata huko Peponi,wanaosema Kuna bikira 72 kwa kila mwanaume wanajua wao wametoa wapi hayo
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
FaizaFoxy njoo upindue matokeo huku
 
Kwahiyo ukienda peponi na mkeo vp kuhusu wale bikira 72
Huwezi kwenda peponi na mkeo,Pepo ni malipo ya mema Yako uliyofanya duniani,Pepo Zina madaraja,huwezi fanana/lingana uchamungu na mkeo,so kila mtu atakua na Pepo yake na malipo yake
 
mkuu, kama ulikua umeoa na ukaishi na mkeo kimsingi wa dini inavyotaka bas ukimuomba Mungu utakapokua peponi uendelee na mkeo wa duniani ruksa kila uombacho peponi unapewa without hesitation.
Pepo Zina daraja,itakua vipi mtu akafaidu Pepo ya daraja la juu ya mumewe kwa mfano au mke mwenye Pepo ya daraja ya juu aende kwa mumewe wa duniani kwenye Pepo ya daraja ya chini isiyo na kiyoyozi!?
 
Back
Top Bottom