Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Mwaka mmoja kwa Mungu, huku duniani ni miaka 1000, kwahiyo 72 ni wachache sana ni hivyo tu Mungu kaamua iwe hivyo, ebu fikiria jambo la milele sio mchezo, acha sisi tukale mema maana hapa duniani tumejizuia sanaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo ulitamani Mungu aongeze idadi hapo wawe hata mara tatu yake kukidhi haja?
 
🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo ulitamani Mungu aongeze idadi hapo wawe hata mara tatu yake kukidhi haja?
Sasa kaka maisha ya milele unajua hayana idadi ya miaka, sasa 72 pekee kazi wanayo maana naona kama hawatoshi vile
 
Muanzisha uzi naomba nikujibu kwa kifupi sana naamini utaelewa.
Ni hivi,kwanza lazima uelewe kwamba Mungu alianza kumuumba mwanaume kwanza then kutokana na huy hyo mawanaume ndo mwanamke akafuatia.

Lakini baada ya uumbaji huo mwanaume ndyo mtu pekee aliyesimikwa uongozi/ukubwa ili kumuongoza/kumtawala mwanamke,sasa basi hapa Duniani wewe mwanaume umeoa mwanamke na mmeishi maisha ya hapa Duniani kwa kufuata sheria za Mungu na kufanya ibada vzr mpk Mwenyezi Mungu akawaridhia muwe katika watu wa peponi.

Sasa kule peponi kwa vile wewe mwanaume unastahili wanawake wengi(Hawa 72 ni idadi ya mfanya ibada wa kiwango cha chini sana) wanawke ambao atawamiliki kwenye eneo utakalopewa ndani ya pepo ambalo ni kama nchi yako ya pekeako na makasri/majumba mengi yaliyobeba hao wanawake pamoja na WAFANYAKAZI wafanyakazi ambao ni vijana wadogo na ni maalum kwa ajili ya kukutumikia wewe katika maisha ya huko peponi.
Ukumbuke kwamba maisha ya peponi ni jambo la milele na hii ni sababu nyingne kwann unapewa wake wengi ili usichoke na usikinahi....lakini pia kule peponi wewe hutakuwa wa kawaida,Mungu atakuumba upya na huyu mke wako ataumbwa upya isipokuwa sasa huyu mwanamke kwa vile alipitia mapambano ya ibada basi Mungu kwa uwezo wake atamfanya kuwa mwanamke MZURI ZAIDI ya wale wanawake mahur'layn na hao mahur'lain ni wanawake WAZURI kiasi ambacho kwa hapa Duniani hakuna cha kufananisha,sasa huyu mwanamke aliyetoka Duniani anapewa ubora huo wa UZURI, UTUKUFU na CHAGUO MAALUM kwasababu yeye kuna kazi ya ibada aliifanya kule Duniani na sasa huku anapewa tunu maalum kma tusema UMALKIA hv japo idadi hyo pamoja na ya wanawake wale wengine itakuwa chini yako wewe mfalme uwamiliki.

Kule peponi Kuna NGUVU maalum Mungu atakupatia wewe mwanaume ili uweze kuwatosheleza idadi yote ya wanawake utakayopewa na kila mwanamke unakaemiliki kule Mungu muumbaji atawatoharisha/Atawasafisha kwa maana hawatapata ile period zao za kila mwezi na hawatapata ujauzito,hawaendi haja ndogo wala kubwa na kubwa zaidi Mungu atawatoa watu wote CHUKI,FITNA,WIVU na UHASIDI katika nyoyo za watu wote watakaoingia peponi ikiwemo hao wanawake jambo ambalo pia
hawa wanawake watakaokuwa katika milki yako pia watakuwa WANAPENDANA SANA WAO KWA WAO na WATAKUWA WANAENJOY SANA KUKUHUDUMIA WEWE...Mungu atawaumba upya.

Sasa wale mnaosema kwamba pepo itakuwa uwanja wa ufuska...Ni hv ndg zangu,Mwanaume yeyote aliyekamilika Starehe yake kubwa ya kwanza ni Ngono tena ngono si kwa mwanamke mmoja,yan mwanaume aliyekamilika huwa anapenda pia kuwabadili badili hao wanawake,na hii ni NATURE,hata hapa Duniani hakuna Mwanaume anaridhika na mwabamke mmoja huo ndo ukweli,sasa kama wewe ni mwabaume afu unakasirika kuwa na wanawake wengi basi kaa ukijua utakuwa unashida kidogo ya kimaumbile japo ukienda peponi Mungu atakuumba upya(usijali)
Sasa kwa vile Mungu muumbaji anatujua vema ndo akaamua kutuumbia idadi kubwa ya wanawake wakiwa wanatofautiana UZURI NA UREMBO huko peponi.

Lakini pia mbali na hilo la ngono,Huko peponi Mungu ameandaa mito ya maji,mito ya maziwa,mito ya POMBE kwa watakaopenda kuinywa lakini pombe hyo huwezi kutoka akili ukaongea upuuzi kwa sababu peponi hakuna upuuzi,lakini pia kuna matunda, nyama za ndege na starehe mbali mbali zisizokatika.

Wanaosema peponi kwa ajili ya kuimba imba.....jamani hivi kma peponi ndo kuimba imba tu kila siku sasa raha ya hiyo pepo ipo wapi?
Pepo ni ulimwengu Mungu ameandaa watu wema kwenda kustarehe,kule hakuna tena ibada,ibada unatakiwa ufanye hapa sasahv Duniani,hayo mambo ya kuimba kule hakuna msiwakatishe watu tamaa,kule Mungu ataki umuimbie kule anataka wewe ule bata haswa,uenjoy utukufu wake kwa vile alivyokuandalia...Yan ukae unaimba imba afu ukishamaliza kuimba...yan hakuna kula,hakuna kunywa yan ni kuimba tuuu....jaman huo sio mpango wa Mungu,hyo ni mipango ya watu kuwakatisha tamaa ili uhisi kwamba nikifanya wema inamaana naenda kulipwa KUIMBA? hii hapana.
Pepo ni ulimwengu wa starehe,wewe kama akili yako haitaki hulazimishwi,lile jambo la kiimani na ndomaana watakaotunukiwa hyo pepo NI WALE WALIOAMINI.

Fanya sana ibada hapa sasahv,piga swala 5,funga Ramadhani,nenda mecca kama una uwezo lakini pia acha madhambi yote uliyokatazwa na tenda mema yote uliyoamrishwa...UKIFA TU PEPONI,na kwa taarifa tu ni kwamba zile starehe za mwanzo huwa zinaanzia pale kaburini then kule peponi utakabidhiwa starehe iliyokamilika
 
Wapuuzi na wajinga wenye chuki kama wengi waliocomment humu hawafanyi utafiti wala kuuliza isipokuwa Wana mentality za chuki na mizaha .Uzi wenye swali kama hili nimeona hapa Jf sio chini ya mara mbili wanajibiwa lakini hawatosheki na member humu safuher aliwahi kuandika uzi mzima kuelezea swala hili lakini bado wasumbufu sana.

Nitaeleza majibu kwa ufupi katika comment inayofuata..
 
Timu LGBT mna matatizo sana. Hilo swali angeuuliza mwanamke ingekuwa sawa. Mwanaume unauliza sasa sijui unataka kupelekewa moto huko.

Huko nyinyi moja kwa moja motoni hakuna kuimba wala kukata viuno kwa ushirikina.

Sifa ya mwanaume aliyekamilika ni kupenda wanawake. Ukiona mwanaume anasema hapendi wanawake, huyo ana tatizo la upinde.
 
Wanawake wa duniiani ndio mahurayn wa peponi. Ukisoma vizuri quraan kuna aya inaonesha hivyo, nimeisahau.

Allah atatupa wanaume tunahangaika naCho(warembo). Atawapa wanawake wanachohangaikia(urembo)
 
Aya hizo zikizungumzia kuwa sharti kuamini na kutenda mema ikiwa mtu akifa katika hali hiyo awe mwanamke au mwanaume hatodhulimiwa atapata malipo yake kamili..
images (1).jpeg


images.jpeg


Kila mtu mwanaume atakuwa na mke wake(wa duniani) peponi kama na yeye atakufa katika halinya uchamungu mwanaume atapata na wengine wa ziada kama ilivyokuwa huku unakuta mwanaume ana wake zaidi ya mmoja ,huko hakuna chuki,huzuni ,karaha wala wivu hivyo vyote vitaondolewa kila mtu ataridhika na malipo atakayopewa .

Mwenyezi Allah anasema kuwa pepo yaliyomo ni vitu adhimu sana hakuna jicho kuwahi kushudia ,sikio huwahi kusikia wala mtu mafikirio yake kufikiria jinsi atakavyokuta na katika Qu'ran starehe na vitu walivyoandaliwa watu wa peponi imeeleza kama kutoa dondoo tu lakini hakika anajua yeye Muumba.
images (2).jpeg
 
Hakuna Raha yyte kwenye ndoa na utakuwa mwehu kulinganisha Raha ya duniani hapa na ya mbinguni , mbinguni hamna kuoa wala kuolewa na hiyo Yesu aliitolea ufafanuzi waziwazi, na kuokolewa anaokolewa mtu mmoja mmoja sio kundi , au mke na Mme au na watoto , kila mmoja anafight kivyake
Mimi nipo logical wewe upo imaginary.... That's our difference


Unataka kutuaminisha kuimba ni kutamu kuliko Ku starehe na wanawake zaidi ya mmoja ambao ni halali yako wenye personalities na maumbile na mionekano tofauti tofauti isn't?

Labda kama wewe ni KE sawa ila kama ni ME hapa unatudanganya na uwe vyovyote utakavyokuwa your reasoning ipo imaginary sana

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Adamu alivyokuwa peponi alipewa mke, sasa nyie mnataka tukae peponi tusiwe na wake?

Kama unataka kuwa khanithi peponi shauri yako, sisi tunataka kuchakata mbususu milele!

Hapa duniani kwenyewe kila demu mkali anayepita nageuza shingo, sasa kwa nini nisikamatie vitu vikali huko peponi?
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
And he will have an ever erect penis.
Tafsiri yake kwa wasiojua kimombo Ni kwamba. Yaani kule unapewa zaidi ya mkongo ili uwashughulikie hao wanawake wenye nyuchi zenye mvuto.
 
Nyie wanawake mnaenda fanywa kuwa huru'r`aain,
Kati ya wale wanawake 70 tutakaopewa kila mwanamume,pengine na wewe/yeye mtakua katiyao..

Allah awafanyie wepesi inshaallah tabarak wataala.
Sheikh usisahau kipozeo amesema pia kutakua na pombe.
In short uislam unasema kwamba peponi kutakua na casino.
Pombe + wanawake ndio ingredients za casino. (With an ever erect penis)
 
Nyie wote mtakuwa mabeki tatu kule mbinguni kutuhudumia sisi wanaume maana Duniani tumeteseka kwaajiri yenu na tunakufa mapema tukiwaachia kila kitu sisi tunaenda sasa kupewa wanawake watakaotupenda kwa ule upendo wa dhati ya moyoni bila kujali hali za kiuchumi.

Balaa mnalo nyie sasa wanawake. Kule mtakuwa mnatutumikia sisi na wapenzi wetu tu bila kupumzika, sisi kazi yetu kunywa divai, kugonga hawa mademu, kulala, kuongea na MUNGU baba tumuelezea namna mlivyokuwa mnatutesa huku duniani.

Walahi mtakomba mbwa nyinyi.
 
Kwaiyo unahisi peponi mtaingia? Mwanamke peponi Firidaus sio rahisi kwa tabia zenu za husda ,chuki,roho mbaya Uzinzi nk nadhani ili Jambo ni Pana.
Tena wa miaka hii katu hawataona hata geti la kuingia peponi. Watafukuziwa mbali ya mbali hata yale marashi hawatayaona.
 
Sasa hiyo pepo itakuwa na raha gani kama twajizuia huku, alafu huko pia hatuvipati hivyo vitu?

Nani kakuambia jimai siyo jambo linalopendwa na mwanadam mzee?

Yaani tukomae na swala tano, swaumu, tule kwa macho pisi Kali afu peponi pia tukaswali na kufunga?

Kwetu sie waislam peponi(Allah atujaalie tuingie pepo yake) ni kustarehe babu kujinyima duniani...na mwanaume yeyote tukisema starehe alafu amtoe mwanamke kwenye starehe basi huyo binafsi nitamuona kuna shida sehemu.....bora ya starehe ni Mke mwema mtiifu(yaani mwanamke).

Tena hao 72 unakuwa energetic kwa uwezo wa mwenyezi mungu ili kuwatosheleza.

Kuhusu wake zetu, akiwa ni katika watu wa peponi na Mme akiwa ni wa peponi basi mtumi(saw) kama si aya asema ingieni peponi na mnawaopenda(it means wana ndoa watakuwa pamoja if and only if watakuwa ni waliotenda mema).

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ukienda peponi na mkeo vp kuhusu wale bikira 72
 
Back
Top Bottom