BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Hizi ahadi zingine za hovyo sana [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wakubwa duniani unaowafahamu na usiowafahamu walioamua kuigundua hiyo michongo iliyomo kwa kuchukua hatua wao wenyewe ili waachane na mambo ya kuambiwa na kujazwa ujinga walianza michakato ya kukisoma hicho kitabu cha mchongo na wakaamini na kubadili dini 😊Ndio uamini iko ni kitabu cha mchongo
Iko wazi... wanawake wa dini zote na kila aina ni fitna! Na tumeshatahadharishwa nao ndugu. Huoni tu mambo yao ya hovyohovyo?!Nyie jamaa mnaongoza kujihesabia haki
YESSSS! SANAAAA! HUENDA HUJAJITATHMINI JINSIA YAKO 😊Kwamba chuki, husda, roho mbaya tunazo sisi wanawake tu?
Hii sio muhimu Kaka 😅 napinga!Ndio mfano mwanaume akitaka kuongeza mke wa pili inatokea husda hutaki mwenzio wamnusuru.
Mwaka mmoja kwa Mungu, huku duniani ni miaka 1000, kwahiyo 72 ni wachache sana ni hivyo tu Mungu kaamua iwe hivyo, ebu fikiria jambo la milele sio mchezo, acha sisi tukale mema maana hapa duniani tumejizuia sanaaaaKwa mwaka unakula 12 Kila mmoja mwezi mmoja mmoja, halafu utakuna kuwarudia Kila baada ya miaka sita, kwahiyo kazi itakiwa ni hiyo hiyo mile yote kunyandua tu na pombe
Nadhani ndio hivo kulingana na niliyosikia kwenye dirisha la mbunguni🙆🙆🙆🙆 Kwahio sisi tutakuwa ma beki3?
Ahaaaha hiyo ndio kazi yenu, utachagua wewe anae kufaa, kisha utamtoa upwekeNasio kila mwanaume ameubwa atolewe upweke
Atulie tuli , mwanaume ni mwanaume hawezi linganishwa na mwanamkeSio wakuchekea kabisa ndo maana mtu ka uyo mi namuita shoga inadvance
Haipo hivyo. Kajifunze tena ndo uje urekebishe hiyo kauli yako.Hicho kitabu kiliandikwa na wahuni halafu Muhammad anadanganya eti aliteremshiwa. Ndiyo kimezaa dini ya kihuni.
Imagine mtu anaambiwa akijiua kutetea Imani yake eti kuna man 72 wanamsubiri peponi. !! Yaani huko peponi hakuna cha maana zaidi ya ngono?? Uhuni mtupu
Pombe NO!... Labda kula, kunya, kulala na kugongana njunju au mbususu.Starehe kubwa ya binaadam ni ngono na pombe
Naam sasa mbinguni kuna rahaa gani kama upigi mkia?du!!..kwa ivo mbinguni ni kugongana ngozi mwanzo mwisho!!!!
Mnaenda kupewa bikra huko😀As-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.
Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.
Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.
Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?
Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.
Ahsante.
Sawaaa,kazi yenu nyie wanaume ni ipi kwetuAhaaaha hiyo ndio kazi yenu, utachagua wewe anae kufaa, kisha utamtoa upweke
Kazi yetu ni kutawala kila kitu, akiwemo mwanamkeSawaaa,kazi yenu nyie wanaume ni ipi kwetu