Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Aanhaa yaani mwanaume akifika kule atapewa wapya 72 +1 au 4 aliotoka nao duniani?Chake si mke wetu tunaenda nae 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aanhaa yaani mwanaume akifika kule atapewa wapya 72 +1 au 4 aliotoka nao duniani?Chake si mke wetu tunaenda nae 😂😂😂
Ha ha haa, utabadili dini mm nitakuwepo😀😀😀😀tutakua single
Biblia imetoa amri mwanamke ni wakutawaliwa wao wanampa nafasi kisha wanalialia et kataa ndoaMungu mwenyewe alianza kuumba mwanaume, au anafikiri Mungu alishindwa kuwaumba kwa pamoja?
Atakuwa na wake zake, kisha atakuwa na bonus ya mabikra 72, hivi wewe unafikiri hao ni wengi? maisha ya kule ni milele sijui pia kama watatosha, narudia maisha ya kule ni milele hayana mwishoAanhaa yaani mwanaume akifika kule atapewa wapya 72 +1 au 4 aliotoka nao duniani?
Kwahiyo huko aliko mtume anapata raha na wanawake 72 mabikira?Hii sio kwa kujilipua ni kufanya mambo mazuri, utapata hao wanawake na raha nyingine, sasa kuna faida gani ya kutii amri za Mungu duniani halafu huko peponi hakuna raha?
Uzungu umewaharibuBiblia imetoa amri mwanamke ni wakutawaliwa wao wanampa nafasi kisha wanalialia et kataa ndoa
Wataoana wao kwa wao sasaUzungu umewaharibu
Raha kamili ni baada ya hukumu, kwasasa wana onjeshwaKwahiyo huko aliko mtume anapata raha na wanawake 72 mabikira?
Waoane mara ngapi? hawa ndio wanachafua kanisa lionekane lina kumbatia mashogaWataoana wao kwa wao sasa
🙆🙆🙆🙆 Kwahio sisi tutakuwa ma beki3?Nyinyi mtakuwa wasaidizi wa kazi za ndani... Wakati tunanyanduana na mademu zetu huko majuu nyinyi mtakuwa nje mkifua na kufagia bustani
Umesahau kwanini uliumbwa? wewe uiumbwa ili kumtoa mwanaume upweke🙆🙆🙆🙆 Kwahio sisi tutakuwa ma beki3?
Kwa mwaka unakula 12 Kila mmoja mwezi mmoja mmoja, halafu utakuna kuwarudia Kila baada ya miaka sita, kwahiyo kazi itakiwa ni hiyo hiyo mile yote kunyandua tu na pombeAtakuwa na wake zake, kisha atakuwa na bonus ya mabikra 72, hivi wewe unafikiri hao ni wengi? maisha ya kule ni milele sijui pia kama watatosha, narudia maisha ya kule ni milele hayana mwisho
Nasio kila mwanaume ameubwa atolewe upwekeUmesahau kwanini uliumbwa? wewe uiumbwa ili kumtoa mwanaume upweke
Heb acha uongo bwana wapi pameandikwa kwamba wanayeyuka😂😂Biblia Ina maelezo mengi yanayokinzana kuhusu maisha ya mbinguni,Mara iseme Kuna ziwa la moto waovu wataingia humo wakati wema watakua wakimuabudu mungu kwa nyimbo,Mara iseme waovu watayeyushwa...utaamua mwenyewe ushike lipi
du!!..kwa ivo mbinguni ni kugongana ngozi mwanzo mwisho!!!!Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
Sio wakuchekea kabisa ndo maana mtu ka uyo mi namuita shoga inadvanceWaoane mara ngapi? hawa ndio wanachafua kanisa lionekane lina kumbatia mashoga