medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,400
- 1,424
Nyie mtakuwa mnakata viuno na kucheza mwanzo mwisho kama mlivyopewa ahadi na Brian Deacon huku mkigonga mvinyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi pameandikwa kuzaliana?Wazo ni theory za kusadikika. Nafsi haihitaji tena kuzaliana kama mwili.
Single mother😀😀😀😀tutakua single
Starehe kubwa ya binaadam ni ngono na pombeHicho kitabu kiliandikwa na wahuni halafu Muhammad anadanganya eti aliteremshiwa. Ndiyo kimezaa dini ya kihuni.
Imagine mtu anaambiwa akijiua kutetea Imani yake eti kuna man 72 wanamsubiri peponi. !! Yaani huko peponi hakuna cha maana zaidi ya ngono?? Uhuni mtupu
Mto wa pombe tena?Tutabaki singo
Kazi ni kuosha vyombo hao wanaume watakao kuwa wanakunywia vileo (kuchota kwenye mto wa pombe)
Malaika ni kiumbe kinachomuabudu mungu wakati wote,Haina logic uabudu mungu duniani Kisha siku ya malipo Kwa wema na wabaya ukaabudu tenaHuo upande wa Qur'an , Sisi wengine tunaamini mbinguni hamna kuoa wala kuolewa , ni kuwa kama malaika
SjakuelewaMalaika ni kiumbe kinachomuabudu mungu wakati wote,Haina logic uabudu mungu duniani Kisha siku ya malipo Kwa wema na wabaya ukaabudu tena
Kwenye Qur'an mwanaume anawakilisha humanity pale ambapo mwanamke hajatajwa,mwanamke mwema atapata yaleyale ambayo mwanaume mwema atapata, Kama ilivyo kwa mwanaume muovu na mwanamke muovuAs-salamu alaykum ndugu zangu.
Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera...
Siku ya mwisho ni siku ya malipo,wabaya watapata malipo ya ubaya wao na wema watapata malipo ya wema wao,Sasa siku ya mwisho iwe Kama malaika kivipi!?Sjakuelewa
Nyoosha maelezo! Mwanamke atapata nini huko peponi?Kwenye Qur'an mwanaume anawakilisha humanity pale ambapo mwanamke hajatajwa,mwanamke mwema atapata yaleyale ambayo mwanaume mwema atapata,Kama ilivyo kwa mwanaume muovu na mwanamke muovu
Mungu yupi ana maelekezo yasiyo ya kitaahira?..hebu yaweke hapa tuyaoneUislamu ni dini ya kitapeli.
Mungu gani ana maelekezo ya kitaahira namna hiyo?
Hujaelewa nini hapo!?..Peponi kwa mujibu wa uislam mtu atapata atakacho,so ni chaguo la mtuNyoosha maelezo! Mwanamke atapata nini huko peponi?
Nyinyi mtakuwa wasaidizi wa kazi za ndani... Wakati tunanyanduana na mademu zetu huko majuu nyinyi mtakuwa nje mkifua na kufagia bustani
Sasa hiyo pepo itakuwa na raha gani kama twajizuia huku, alafu huko pia hatuvipati hivyo vitu?Mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa