Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Bado hujaeleweka, unamaanisha wanawake nao watapata wanaume 70?
Kwenye Qur'an mwanaume anawakilisha humanity pale ambapo mwanamke hajatajwa,mwanamke mwema atapata yaleyale ambayo mwanaume mwema atapata,Kama ilivyo kwa mwanaume muovu na mwanamke muovu