Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Kwenye Qur'an mwanaume anawakilisha humanity pale ambapo mwanamke hajatajwa,mwanamke mwema atapata yaleyale ambayo mwanaume mwema atapata, Kama ilivyo kwa mwanaume muovu na mwanamke muovu
kwaiyo na wanawake nao watapewa wanaume 70?
 
Bahati mbaya umevamia na kuandika usichokijua.
Kuwa huru kuandika lolote siyo sababu ya kuonyesha ujinga na upumbavu mbele wa watu wazima.

NOTE; Ukikaa kimya tunaweza kukuomba ushauri kuliko ...!
Kama wewe ni mtu mzima. Kweli hata wapumbavu huzeeka. Na siku nikiombwa ushauri na mtu kama wewe nitaenda Nitupa baharini ni bora kuliwa na samaki kuliko wewe hata ufikie hatua ya kufikiri kutaka ushauri. Ungenyamaza au hupendi onekana una akili?
 
sidhan kama ni jibu sahihi maana anaitaji majibu kwa mjibu wa kitabu cha iman yao (quran) na sio kwa kitabu cha iman nyingne
 
Watazaliwa upya ,ili bikra zao zilirudi ka mwanzo,Kuna Hakuna bikra za kufoji za kichina,na za limao,no janja janja
Wakizaliwa upya nao wataingia kwenye kundi la hao 70,,kule kule
 
Watazaliwa upya ,ili bikra zao zilirudi ka mwanzo,Kuna Hakuna bikra za kufoji za kichina,na za limao,no janja janja
Wakizaliwa upya nao wataingia kwenye kundi la hao 70,,kule kule
Labda wabadilishwe sura mkuu
 
Swali zuri ngoja wenye aya waje
 
Wanaume wasingeenda kwenye jihad yake bila kuwadanganyia pussy kidogo.
Nani akubali kufa na hajui atapata faida gani ndio ikabidi awape utamu WA kufikiria WA mabikra 70[emoji23][emoji23][emoji23] masela wakamuamini kama wambavyo wanawake wanawaamini Akina GWAJIMA na WAUZA MAFUTA
 
kwaiyo na wanawake nao watapewa wanaume 70?
Qur'an haijataja idadi ya wanawake bikira na twahara ambayo wanaume watapata huko Peponi,wanaosema Kuna bikira 72 kwa kila mwanaume wanajua wao wametoa wapi hayo
 
FaizaFoxy njoo upindue matokeo huku
 
Kwahiyo ukienda peponi na mkeo vp kuhusu wale bikira 72
Huwezi kwenda peponi na mkeo,Pepo ni malipo ya mema Yako uliyofanya duniani,Pepo Zina madaraja,huwezi fanana/lingana uchamungu na mkeo,so kila mtu atakua na Pepo yake na malipo yake
 
mkuu, kama ulikua umeoa na ukaishi na mkeo kimsingi wa dini inavyotaka bas ukimuomba Mungu utakapokua peponi uendelee na mkeo wa duniani ruksa kila uombacho peponi unapewa without hesitation.
Pepo Zina daraja,itakua vipi mtu akafaidu Pepo ya daraja la juu ya mumewe kwa mfano au mke mwenye Pepo ya daraja ya juu aende kwa mumewe wa duniani kwenye Pepo ya daraja ya chini isiyo na kiyoyozi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…