Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Sema kimeumanaaa...hii tamuuu
 
Tutakua michepuko tu amini nakwambia hao wanawake watakaopewa huko hawatakua watamu kama sisi😀😀😀
Nyie watamu ila wachoyo...wa huko watamu alafu sio wachoyo kama nyie
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.

Unapaswa kuishi maisha ya mbingu(usafi wa moyo) hapa juu ya nchi wewe na mumeo au mkeo, kwani ndilo kusudi la aliyetuumba kuishi nasi juu ya nchi.

Majira zote zilizopita fahamu nyingi, dini zote, huduma mbalimbali na dhehebu mbalimbali tulifundishwa kwenda akhera na peponi ila kiuhalisia pepo yako ni hapahapa juu ya nchi ukiishi usafi wa moyo.
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Mtapewa wanaume wapya wenye pua ndefu na ile kitu kubwa mkate kiu kabisa hasa walioteswa na vibamia mtafutwa machozi milele🤣🤣🤣🤣
National Anthem
Satoh Hirosh yule mtu vipi?
 
Wakati Biblia inasema mbinguni hakuna kula Wala kunywa,, kuoa Wala kuolewa kazi kuu kule ni KUIMBA NA KUMSIFU MUNGU.

Kuna kitabu kingine kinafindisha kuwa mbinguni Kuna tendo la ndoa tena kwa wanawake 72 , na kunywa pombe?

Embu fikiri mbinguni kulivyo na utakatifu , Mungu awe anapunga upepo kwa kutembelea bustani zake Kila kichaka anakutana na ndude Ina midevu ya kufa mtu inaendelea kuvunja amri ya sita😄😄😄

Huwa nafuatilia mawaidha na hadithi za dini hiyo , nyingi zimejaa hypothetical za kitoto na zinahimiza saana mahusiano kuliko mafundisho mengine.

Ukifuatilia mafundisho ya Kipoozeo unaweza kumchukulia kama comedian lakini yupo serious na ni kwa mujibu wa kitabu hicho. Mbaya zaidi wakati wanashusha nondo hizo kwenye ibada na watoto wadogo wamo humo humo maana hawana ibada kutokana na rika kama AL KITAB wafanyafyo. Hivyo unakuta katoto kadogo kanajua mambo mazito kumbe ni mawaidha ya ndoa na mahusiano
Wafuasi wa Mwamposa mnakuwa mazezeta. Hiyo kwa mujibu wa maandiko gani inayosema mbinguni hakuna kula?
Soma biblia mwanzo mwisho ndiyo uje kuandika pumba mlizofundishwa sunday schools.
Mmewekewa hadi movie ya Brian Deacon lakini mmeshindwa kuelewa. Angalia kwenye movie ya Brian Deacon pale walipokuwa wanapiga mkate na vyombo usikilize maneno ya Brian Deacon anakwambia anakwenda kugonga vyombo kwa baba yake.

Mathayo 26:29 BHN​

Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu mpaka siku ile nitakapoinywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.
 
Mmmhh hapa ni mwendo wa kufarijiana tuu unawezaje kuingia kwenye mji mtakatifu ikiwa dunian ulikuwa mtenda maovu na ni mbingu gani inaruhusu ngono na pombe jamaniiiiii huko tutavikwa mwili mpya usiuwazie huo mwili wako uliochoka na maovu ya ulimwengu!!
 
Ndio mjue hakuna kuturingia ........nyie tupeni connection Tu hapa duniani .....tuwaweke majando yetu..........maana hata kwenye Pepo hamtakiwi......... Umepewa ki njia kidogo ........wewe unajiweka tango unategemea nini ?? Ndio maana kule mmekataliwa hakuna size zenu.........Kira siku kusema sema Tu vibamia
 
As-salamu alaykum ndugu zangu.

Naomba kuuliza, Quran tukufu 2:25, 4:57 imeandika kwamba wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wazuri huko Akhera.

Pia ukisoma Quran tukufu 38:52 inaongelea kwamba kuna mabikra tayari wa kutosha huko Ahera wakiwasubiri wanaume.

Zaidi ukisoma Quran tukufu 44:54 inataja sifa za mabikra hao kuwa ni wenye macho mazuri, macho meusi mapana na warembo kwelikweli.

Swali langu ni iwapo wanaume wetu na waume zetu watapewa wanawake wapya na wanawake hao wako tayari walishaandaliwa, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi iwapo waume zetu wa hapa Duniani tayari watapewa wanawake wengine?

Hakuna mahala popte kwenye Quran tukufu ambako sisi wanawake wa Duniani tumeahidiwa chochote huku waume zetu wakiahidiwa wanawake wapya.

Ahsante.
Mmeshaliwa kiboga hapo 🤣🤣
 
Kama hakushindwa kuumba kwa pamoja kwanini hakufanya hivyo? Kwanini ajipe kazi ya kuumba kisha kuumba tena mwingine ambaye hakutokana na udongo ( mwanamke)?
Alitaka kuonyesha kuwa mwanaume ndio mtawala, kisha kutokana na changamoto ya upweke akaleta mwanamke afanye kazi ya kumpa furaha mwanaume
 
K

Kutombaner mwisho duniani halijui hili🤣🤣🤣
😅😅😅😅 baba yao ..... ndio kawajaza upepo.. kama Yesu alivyo wajibu wale jamaa kuwa baba yenu ibilisi 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom