Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
Hatari sana. Mimi hapa kufanya ngono na wanawake 2 siwezi. Je, hao 72 nitawaweza? Kama mm ngono ni sehemu ndogo sana ya maisha yangu. Ukisema nifanye ngono au kwenda mbuga za wanyama. Nitachagua kwenda kwenye mbuga za wanyama. Dini ni michongo ya watuQur-an 40;8 inakupatia mwangaza
Waislamu tutaingia na wake zetu peponi,ikiwa hawo wanawake watakuwa wema.
Lakini Hao wake zetu watakuwa Malkia, na Hao mahurl Ain ni kama wasaidizi wa malkia.
Jumla ni 70.
Huko ni kula na kupiga Rungu ndiyo mfano rahisi wa maisha ya Peponi.
Kwani hapa duniani tunahangaika kufanya kazi ili tupate nini?
si niKula,
Starehe,
Na kupiga rungu?
kuna jengine katika starehe unazozijua wewe hapa duniani?
Basi peponi kuna Suprize, Hakuna aliye wahi hata ku imagine.