Jibu ni hili hapa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
43:70 quran
Enter Paradise, you and your wives, with happiness.
Jengine hili hapa 33:35 quran
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hakika Waislamu wanaume na Waislamu wanawake, na Waumini wanaume na Waumini wanawake, na wat'iifu wanaume na wat'iifu wanawake, na wasemao kweli wanaume na wanawake, na wanao subiri wanaume na wanawake, na wanyenyekevu wanaume na wanawake, na watoao sadaka wanaume na wanawake, na wanao funga wanaume na wanawake, na wanao jihifadhi tupu zao wanaume na wanawake, na wanao mdhukuru Mwenyezi Mungu kwa wingi wanaume na wanawake, Mwenyezi Mungu amewaandalia msamaha na ujira mkubwa.
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app