Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

This natural selection is a fraud. Kwann ipendelee baadhi ya watu kwa vitu mbali mbali. Kwann iweke ubaya kati ya watu na watu kati ya wanyama na watu. Uthibitisho wenyew ni wa mwili tu jibu la kiroho inayotenda zaidi halina hili. Ieleezee kwann watu anaamua kusafiri kutoka sehem mbali mbali kutafuta namna ya kuishi na pia ielezee kwann mtu awe na utashi kuliko wanyama.
Kwanza kabisa hoja yako ni potofu, natural selection haina hoja ya kwamba yenyewe haina upendeleo, haina ubaya, it is just a natural process. Natural process haijali kuhusu ubaya na uzuri.

Mto ukijaza bwawa la maji lililo mlimani, bwawa likafurika, maji yatashuka kilima tu, maji hayatasema "haaa, hapa chini ya mlima kuna kijiji kina watu, ngoja nikwepe kijiji nisiue watu". Maji yanafuata gravity tu, hayajali habari zenu za uzuri na ubaya.

Natural processes do not have consciousness to care about good and bad, you are just projecting your human bias into natural processes. This is anthropic bias.

Lakini, ngoja nikupige "immanent critique". Nikuoneshe udhaifu wa hoja yako, kwa kuanza kama nataka kukukubalia hoja yako. Naanza kukukubalia hoja yako, halafu naonesha kwamba hata nikikukubalia hoja yako, bado hoja ya Mungu kuwapo ina matatizo.

Kwa hoja yako hii kwamba kinachoweka upendeleo kati ya watu, kinachowezesha ubaya kati ya watu, kati ya wanyama na watu ni fraud, hata nikikubali kwamba natural selection ni fraud, kwa mantiki yako, bado Mungu wako naye anakuwa fraud.

Tuseme nakukubalia natural selection ni fraud, for argument's sake.

Halafu tukasema ulimwengu umeumbwa na Mungu, halafu tukaona ulimwengu huu huu tunaosema uliumbwa na Mungu bado Mungu karuhusu uwe na upendeleo kati ya watu, uwe na ubaya kati ya watu, uwe na ubaya kati ya watu na wanyama, utakubali kwamba tukitumia mantiki yako ile ile ya kuita natural selection fraud, kwa sababu imeruhusu ubaya, hata huyo Mungu naye atakuwa fraud tu, kwa sababu na yeye karuhusu ubaya?

Unaelewa kwamba hoja yako inamuita Mungu fraud?
 
Wanawake wengi wanakosea Sana.

Wanakuwa wabishi na kutufanya wanaume tufanye vby hapa..Ina vifo vingi Sana kutokana na mfadhaiko wa mwanaume. Kukujibu ni kwamba wanawake wengi Sana waraushia jehanam. Tuombe Dua Allah aepushe hali hiyo

Mwanamke mtiifu Kwa mumewe hakika ataiona pepo na atakuwa ni katika hururain
Kama wanawake nd wakosaji zaidi elezea kwann namba ya wanaume ni kubwa jela kuliko wanawake
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.


Shehe nae anafafanua hapa

Huyu Mwamba nikiwa na msikiza na cheka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”

Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-

Quran 37:48-49:

And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.

“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.


Shehe nae anafafanua hapa

Kiufupi hujajibu swali la mleta uzi.
 
Kwanza kabisa hoja yako ni potofu, natural selection haina hoja ya kwamba yenyewe haina upendeleo, haina ubaya, it is just a natural process. Natural process haijali kuhusu ubaya na uzuri.

Mto ukijaza bwawa la maji lililo mlimani, bwawa likafurika, maji yatashuka kilima tu, maji hayatasema "haaa, hapa chini ya mlima kuna kijiji kina watu, ngoja nikwepe kijiji nisiue watu". Maji yanafuata gravity tu, hayajali habari zenu za uzuri na ubaya.

Natural processes do not have consciousness to care about good and bad, you are just projecting your human bias into natural processes. This is anthropic bias.

Lakini, ngoja nikupige "immanent critique". Nikuoneshe udhaifu wa hoja yako, kwa kuanza kama nataka kukukubalia hoja yako. Naanza kukukubalia hoja yako, halafu naonesha kwamba hata nikikukubalia hoja yako, bado hoja ya Mungu kuwapo ina matatizo.

Kwa hoja yako hii kwamba kinachoweka upendeleo kati ya watu, kinachowezesha ubaya kati ya watu, kati ya wanyama na watu ni fraud, hata nikikubali kwamba natural selection ni fraud, kwa mantiki yako, bado Mungu wako naye anakuwa fraud.

Tuseme nakukubalia natural selection ni fraud, for argument's sake.

Halafu tukasema ulimwengu umeumbwa na Mungu, halafu tukaona ulimwengu huu huu tunaosema uliumbwa na Mungu bado Mungu karuhusu uwe na upendeleo kati ya watu, uwe na ubaya kati ya watu, uwe na ubaya kati ya watu na wanyama, utakubali kwamba tukitumia mantiki yako ile ile ya kuita natural selection fraud, kwa sababu imeruhusu ubaya, hata huyo Mungu naye atakuwa fraud tu, kwa sababu na yeye karuhusu ubaya?

Unaelewa kwamba hoja yako inamuita Mungu fraud?
Sasa ndo hapo ukweli unapopatikana Sayansi haiwez kujibu hilo swali kwanini kuna utofauti ila bible inajibu. Kwa mfano binadamu kuasi nd kunasababisha huo mkanganyiko na solution imetolewa kuwa dhambi itabidi iondolewe kwa kuchomwa moto na kila kitu kitarudi mahala pake kama Eden. Nipe majibu ya sayansi kwanini natural selection haijielewi?
 
Mim nakuuliza wewe,
Upande wenu wakiristo mukifufuliwa na kwenda Mbinguni mutapewa nini?
Nini Zawadi ya unyenyekevu wenu ili iwe tofauti na wale waliomuasi Mugu?
Uzima wa milele maisha yenye furaha na kumtukuza Mungu kwa kusifu na kuabudu hyo nd zawadi. Kutokuwa na magonjwa wala vifo wala maumivu kuwa na umoja kati yetu. Kuuishwa kwa miili ya duniani ilyomuasi Mungu. Pia Mungu anataka afute dhambi kwa kuiondoa kabisa.
 
Sasa ndo hapo ukweli unapopatikana Sayansi haiwez kujibu hilo swali kwanini kuna utofauti ila bible inajibu. Kwa mfano binadamu kuasi nd kunasababisha huo mkanganyiko na solution imetolewa kuwa dhambi itabidi iondolewe kwa kuchomwa moto na kila kitu kitarudi mahala pake kama Eden. Nipe majibu ya sayansi kwanini natural selection haijielewi?
Kujibu si hoja.

Hata kichaa anaweza kujibu swali.

Hoja ni, je, jibu ni sahihi?

Bible ina contradictions nyingi sana. Inajipa utakatifu wa kuwa na jibu la kila kitu, wakati imeshindwa kujibu mengi, hapo ndipo udhaifu wake.

Sayansi kwa upande wa pili, inakubali kwamba haina majibu ya kila kitu, sayansi ni mchakato wa kutafuta majibu, kwa hivyo, hata ikikosa majibu, hakuna cha kushangaza. Haikuwahi kudai kwamba ina majibu ya kila kitu.

Natural selection haina cognitive tools za kuipa consciousness, hivyo, haina consciousness.
 
Kujibu si hoja.

Hata kichaa anaweza kujibu swali.

Hoja ni, je, jibu ni sahihi?

Bible ina contradictions nyingi sana. Inajipa utakatifu wa kuwa na jibu la kila kitu, wakati imeshindwa kujibu mengi, hapo ndipo udhaifu wake.

Sayansi kwa upande wa pili, inakubali kwamba haina majibu ya kila kitu, sayansi ni mchakato wa kutafuta majibu, kwa hivyo, hata ikikosa majibu, hakuna cha kushangaza. Haikuwahi kudai kwamba ina majibu ya kila kitu.

Natural selection haina cognitive tools za kuipa consciousness, hivyo, haina consciousness.
Mwenye contradiction ni mtu na siyo bible sababu bible imejikita na mambo ya rohoni ambaye nd kiongozi wa mwili wa mtu. Halafu majibu yapo mengi sana kama ulivosema kwamba hata kichaa anaweza kujibu lakini kuna jibu limestand out sababu logic yake ina uhalisia mkubwa nd bible hyo sasa. Science inatabiri mambo mangap yanafail ila bible inayoyatabiri yanatokea kweli tangu zama za kale. Lakini pia kuna vithibitisho vya wazi kuwa bible nd kitabu cha kwanza kuandikwa duniani je hio haitoshi kuaminisha watu kuwa yaliyoandikwa ni kweli?
 
Kujibu si hoja.

Hata kichaa anaweza kujibu swali.

Hoja ni, je, jibu ni sahihi?

Bible ina contradictions nyingi sana. Inajipa utakatifu wa kuwa na jibu la kila kitu, wakati imeshindwa kujibu mengi, hapo ndipo udhaifu wake.

Sayansi kwa upande wa pili, inakubali kwamba haina majibu ya kila kitu, sayansi ni mchakato wa kutafuta majibu, kwa hivyo, hata ikikosa majibu, hakuna cha kushangaza. Haikuwahi kudai kwamba ina majibu ya kila kitu.

Natural selection haina cognitive tools za kuipa consciousness, hivyo, haina consciousness.
Sasa kama haina consciousness inawezaje kumuumba mtu mwenye consciousness. Lakini bible inasema Mungu katuumbwa kwa mfano wake so mwanadamu alivo ni exact reflection ya Mungu mwenyewe. Sasa hapo kipi kinaweza kuwa kweli?
 
Sasa kama haina consciousness inawezaje kumuumba mtu mwenye consciousness. Lakini bible inasema Mungu katuumbwa kwa mfano wake so mwanadamu alivo ni exact reflection ya Mungu mwenyewe. Sasa hapo kipi kinaweza kuwa kweli?
Huyo Mungu mpaka sasa hujathibitisha kwamba yupo.

Unapiga hadithi tu kwamba yupo.
 
Sijui nani aliwadanganya hawa watu na kuwapa hii imani ya ajabu kabisa!
Huenda kuna mbingu nyingine lakini sio hii ya Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.
 
Sijui nani aliwadanganya hawa watu na kuwapa hii imani ya ajabu kabisa!
Huenda kuna mbingu nyingine lakini sio hii ya Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo.
Mungu huyu ni wa Ibrahi, Isaka, Jakobo Yesu na Ishmail , Muhammad na wengineo akina Daudi, Noa na Yona .
Mungu mmoja asiyebadilika ,Muumba wa Mbingu na Nchi.
Atawapa waja wake wema mahali pema pa starehe siku ya Kiama , na Kuwaingiza kwenye Adhabu waja waOvu ndani ya Moto wa Jahannam.
Uzima wa Milele humo peponi na starehe za kila aina, wakiwemo mabinti warembo na vyakula vyakutamanisha na nyama za ndege na matunda na Vinywaji kama Maziwa, Asali ,Mvinyo na shrubati anuwai.

Umekwama wapi Ndugu yangu katika Kuelewa?
 
Tatizo tunafikiri tutakuwa na fikira hizihizi huko peponi. Pepo ni spiritual realm, tukifa tunaingiacp dimension nyingine.
 
Huyu Allah aliyetoa ahadi wa mabikira 72 sidhani kama ni Mwenyezi Mungu!
Mwenyezi Mungu hawezi kutoa ahadi ya aibi kama hi!
 
Mungu huyu ni wa Ibrahi, Isaka, Jakobo Yesu na Ishmail , Muhammad na wengineo akina Daudi, Noa na Yona .
Mungu mmoja asiyebadilika ,Muumba wa Mbingu na Nchi.
Atawapa waja wake wema mahali pema pa starehe siku ya Kiama , na Kuwaingiza kwenye Adhabu waja waOvu ndani ya Moto wa Jahannam.
Uzima wa Milele humo peponi na starehe za kila aina, wakiwemo mabinti warembo na vyakula vyakutamanisha na nyama za ndege na matunda na Vinywaji kama Maziwa, Asali ,Mvinyo na shrubati anuwai.
Da! kweli kuna aya zimegushiwa ktk hicho kitabu 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom