Sirnone
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 738
- 722
Ukiona mtu anaanza kupingana au kubishana kwa mambo ya imani ujuie huyo mtu hana akili kabsaaa. Mambo ya imani ni ktu cha mtu binafsi haina haja ya kwanza kulimbana kla mtu awe na imani anayoiamin na afuate anachokitaka.Arsenal imeingiaje hapa? Hebu mtetee huyo mwakasege hapa,
Sis tunamjua ni kanjanja