Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

Je, kanisa la mhubiri Christopher Mwakasege liko wapi?

Umeelewa lakin au mnakurupuka? Kwann amejianzishia semina nje ya KKKT?
Kuna watu huwa uwezo wao wa kufikiria n mdogo mno Sasa bila kujua anabisha kitu akidhani anajua wakati uwezo was kupambanua mambo ni mdogo. Umeambia mwakasege syo mchungaji ni mwalimu na anzungunga nchi nzima kutangaza injili kwa kalibani zote
 
Mafarisayo na Masadukayo mnashtuka leo kuhusu Mwakasege,mumshukuru kaleta uamsho,anahubiri wokovu,anahubiri roho mtakatifu,anapinga pombe na uasherati wakati nyie mlibariki ndoa,kajambeni tena mrudi hapa
 
Kuna watu huwa uwezo wao wa kufikiria n mdogo mno Sasa bila kujua anabisha kitu akidhani anajua wakati uwezo was kupambanua mambo ni mdogo. Umeambia mwakasege syo mchungaji ni mwalimu na anzungunga nchi nzima kutangaza injili kwa kalibani zote
Eti anatangaza injili ,ndio maana mnaibiwa na kila mtu, hiyo injiri gani ? Unaijua injiri wewe? Hiv mnasoma biblia kweli? Hao watu anaowahubiria huwa anawabatiza kama agizo la Yesu? Je anawabatiza na kuwapeleka wapi?KKKT?

Yaani mpaka vichwa vyenu vifunguke mjue kuwa Hizo SEMINA NI MRADI wake wakupiga hela kwa wajinga kama nyie
 
Wewe kuna miungu mingi,,, ndio maana kuna manabii wengi hapa dar wengine mtaa mmoja lkn wanapingana mafundisho
Ndo maana nkakuambia chukua kitabu chako cha iman yako Soma kwa iman ingia chumban kwako Muombe Mungu wako amabaye unamjua wewe
 
Ndo maana nkakuambia chukua kitabu chako cha iman yako Soma kwa iman ingia chumban kwako Muombe Mungu wako amabaye unamjua wewe
Huwezi kuzuia watu wasijadili na kudadisi kisa uovu unafunuliwa

Mkiambiwa mnakimbilia ohoo ni MASIHI WA BWANA asiguswe

Shubamit
 
Mafarisayo na Masadukayo mnashtuka leo kuhusu Mwakasege,mumshukuru kaleta uamsho,anahubiri wokovu,anahubiri roho mtakatifu,anapinga pombe na uasherati wakati nyie mlibariki ndoa,kajambeni tena mrudi hapa
Hahahaaa hizo hata manabii waliojaa hapa dar wanafanya kama mwakasege tena zaidi ,

Ila LENGO lao ni kuwapigeni hela,
 
Huwezi kuzuia watu wasijadili na kudadisi kisa uovu unafunuliwa

Mkiambiwa mnakimbilia ohoo ni MASIHI WA BWANA asiguswe

Shubamit
Hakuna anayejua uovu wa mtu hapa duniani zaidi ya Mungu.
 
Hakuna anayejua uovu wa mtu hapa duniani zaidi ya Mungu.
Ukiona sku zote mwanadamu anafananisha wahubiri sjui huyu mzuri au huyu mbaya ujue anamapungufu Sana kwenye akili yake watu wanakaaga kimya wanafuata imani yake
 
Hakuna anayejua uovu wa mtu hapa duniani zaidi ya Mungu.
Wewe kweli kiazi , yaani kwa hoja yako hiyo ,unajifungia mlango wakubaini unavyodanganywa,

Mwakasege ,mzee wa upako, gwajima, mwingira,lwakatare, na manabii na mitume waliojazana dar, iringa,mbeya,arusha na mwanza

Wote ni WAJASIRIAMALI, na mtaibiwa sana mpaka akili ziwakae sawa,
 
Hahahaaa hizo hata manabii waliojaa hapa dar wanafanya kama mwakasege tena zaidi ,

Ila LENGO lao ni kuwapigeni hela,
Tumeambiwa tuzipime hizo roho,Siku hizi Roma wana michango kuliko kanisa lolote,na usipo changa wanakwambia ukifa hawakuziki wala kukuombea maana wana amini ukiombea maiti inakwenda Mbinguni
 
Basi nifatilie ktk nyuz zangu utaelewa,ila hapa nimejikita kuhusu huyu mwakasege,

Huyu mwakasege,kakobe, na manabii wote hapa tz ni wezi ,sipepes maneno
Kumbe unajawa hasira na chuki dhidi ya mwakasege kwa sababu haamini kile unacho kiamini. Pole yako maana wafuasi ambao wao huhudhuria semina zake tu hayo makanisa yako nchi nzima mmeshindwa kuwashawishi kwa idadi hiyo. Ni ningi mnao amini katika torati lkn mnabagua sheria za torati za kuamini. Mnachagua sheria za kuamini kwa sababu nyingine hamuwez kuzitekeleza. Karibu kwa Mwl Christopher Mwakasege akufundishe nguvu ya roho mtakatifu na kukufungua kwenye hvyo vifungo vya torati
 
Wewe kweli kiazi , yaani kwa hoja yako hiyo ,unajifungia mlango wakubaini unavyodanganywa,

Mwakasege ,mzee wa upako, gwajima, mwingira,lwakatare, na manabii na mitume waliojazana dar, iringa,mbeya,arusha na mwanza

Wote ni WAJASIRIAMALI, na mtaibiwa sana mpaka akili ziwakae sawa,
Kuibiwa tuibiwe sisi wewe unawashwa nini
 
Ngongo,
nimependa comment zako na jinsi ulivyojaribu kumwelezea Christopher Mwakasege. Kwa kweli ni mwalimu na siyo mchungaji hana kanisa na ameweka wazi kuwa yeye ni mwalimu na siyo mchungaji hivyo hahitaji kanisa. Mungu aendelee kumbariki...
Richard Mwakasege ni Mlutheri
 
Wewe kweli kiazi , yaani kwa hoja yako hiyo ,unajifungia mlango wakubaini unavyodanganywa,

Mwakasege ,mzee wa upako, gwajima, mwingira,lwakatare, na manabii na mitume waliojazana dar, iringa,mbeya,arusha na mwanza

Wote ni WAJASIRIAMALI, na mtaibiwa sana mpaka akili ziwakae sawa,
Ndo maana nkakuambia unaakili ndogo Sana kwa hyo wewe ulitaka mtumishi awe masikini ndo uamini ni mtumishi wa Mungu?
 
Ndo maana nkakuambia unaakili ndogo Sana kwa hyo wewe ulitaka mtumishi awe masikini ndo uamini ni mtumishi wa Mungu?
Na pia mm hakuna mtu anweza nidanganya maana mm simfuati mtu namfuata Mungu tu
 
Mtumishi halisi wa Mungu huwa hajitapi, hajisifu, wala kusema wengine vibaya.
Mtumishi halisi wa Mungu ni mnyenyekevu siku zote.
Mwalimu Mwakasege ni mtumishi halisi wa Mungu kwa wakati huu.
 
Kumbe unajawa hasira na chuki dhidi ya mwakasege kwa sababu haamini kile unacho kiamini. Pole yako maana wafuasi ambao wao huhudhuria semina zake tu hayo makanisa yako nchi nzima mmeshindwa kuwashawishi kwa idadi hiyo. Ni ningi mnao amini katika torati lkn mnabagua sheria za torati za kuamini. Mnachagua sheria za kuamini kwa sababu nyingine hamuwez kuzitekeleza. Karibu kwa Mwl Christopher Mwakasege akufundishe nguvu ya roho mtakatifu na kukufungua kwenye hvyo vifungo vya torati
Hahaaaa ngoja nicheke kwanza

Mbona hunijibu nimekuuliza mwakasege anahubiri injili , je anawabatiza na kuwapeleka wapi kama agizo la YESU?

unakimbilia ohoo sijui torati,

Hivi unajua mwakasege na wenzake wanaitumia hiyo torati kupiga hela maana wanasisitiza ZAKA NA SADAKA hasa wakitumia VITABU VYA AGANO LA KALE , unajua hilo?
 
Back
Top Bottom