Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Hahahaaaa ndio ulivyodanganywa?Dah jamaa unaakili fupi wewe. Mungu ni mmoja na Ni was wote hakuna Mungu wa mtu mmoja labda miungu
Nimewauliza inakuwaje hapa Dar kuna manabii zaidi ya 10000 na wote wanasema wametumwa na Mungu, lakin wanapingana kimafundisho?